Makonda hafai kuwa kiongozi kabisa. Uongozi unahitaji busara na hekima kama Rais Samia alivyo

Makonda hafai kuwa kiongozi kabisa. Uongozi unahitaji busara na hekima kama Rais Samia alivyo

Kwa ambao kero zao zimetatuliwa vile unawaambiaje?
Siasa zile. Walikuwa wanapangwa ili ijulikane ni kero kumbe ni kiini macho. Tunamjua yule bwana mdogo ni sawa na akina mwamposa wanaopanga watu ili wadondoke ibada ikiwa inaendelea
 
Ndiyo. Wanasheria watajua vifungu ni vipi vya kuwavictimise. We na mimi hatuwezi kujua mana siyo wanasheria. Sheria ni profession siyo kila mtu anajua
Fuatilia hiyo kesi haiwezi kuwa kujiuza utaona kosa wanaloshtakiwa nalo ni uzembe na uzurulaji.
Hakuna mtu alishtakiwa kwakufanya mapenzi na mtu mwingine kwa hiari wakiwa ni watu wazima wasio na kipingamizi chochote iwe kwa malipo au bure.
Labda ingekua wanafanya mapenzi hadharani linakua ni kosa.
 
Fuatilia hiyo kesi haiwezi kuwa kujiuza utaona kosa wanaloshtakiwa nalo ni uzembe na uzurulaji.
Hakuna mtu alishtakiwa kwakufanya mapenzi na mtu mwingine kwa hiari wakiwa ni watu wazima wasio na kipingamizi chochote iwe kwa malipo au bure.
Labda ingekua wanafanya mapenzi hadharani linakua ni kosa.
Wao hawafanyo mapenzi bali wanajiuza. Kujiuza kuna katazwa. Kumbuka inaitwa law and ethics. Vuyote vinaenda pamoja. Kuna kitu kinaitw customary law
 
Tukisema huyu mtu hakujaaliwa hekima na busafa watu kama akin a mwashambwa wanakuwa wakali kutokana na "ukunguni" wao
 
Hii nchi Samia asingeinusuru baada ya torture tulizozipitia surely akina tundu lisu na lema au mbowe wangekuwa bado wako ughaibuni kuogopa kuuawa.

Hii nchi mama kaitoa mbali sana tulikuwa tunaishi kama vile tuko motoni. Ukiamka hijui kama leo ni zami yako kutekwa au la.

Hata information muhimu tulikuwa hatupai kabisa mana magazeti yale ya kuibua madudu yalifungwa kama.vile tanzania dima, mawio, jamhuri nk. Leo yanaandik chochote

Watu tunafurahia maisha biashara zimerudi kama zamani, mahoteli yaliyofungwa kibabe yamerudi kam ngurdoto nk.

Viwanda vilivyofungwa kinzazi kabisa vina operate sasa hivu kama viwanda vya chunvi kule bagamoyo.

Hakuna ubabe tena tulikuwa tumezoea na nchi imetulia sasa mjinga mmoja anayeitwa makonda anataka kuichafua tena nchi.

Hata maaskofu kanisa katoliki hawakupenda kabisa uongozi wa jiwe ndo mana nyaraka zililuwa nyingi. We mtu gani ukikosolewa unatishia kushila pasport kama laivyofanya kwa ask. Niwemugizi na kakobe.
Samia huyu anayemtazama tu Bashe akiizamisha meli??

Samia huyu huyu ambaye amepiga kimya kuhusu aliyoyabaini CAG??

Huyu huyu wa Bandari na DP World!!? Huyu huyu wa Ngorongoro na KIA!? Au unamzungumzia yupi??

Kwa Hali ilipofikia hii nchi hatuhitaji viongozi wa kuchekacheka na watu!! Ikitokea Rais yupo vile na tukataka na wasaidizi wake wawe kama yeye basi tutegemee kina Bashe na Mwigulu kuongezeka nchini.

Tafadhali tuacheni Tanganyika yetu!! Viongozi wa Kitanganyika lazima Waamuke na kucharuka!!

Hapana kabisa kuruhusu huu uzenji
 
Samia huyu anayemtazama tu Bashe akiizamisha meli??

Samia huyu huyu ambaye amepiga kimya kuhusu aliyoyabaini CAG??

Huyu huyu wa Bandari na DP World!!? Huyu huyu wa Ngorongoro na KIA!? Au unamzungumzia yupi??

Kwa Hali ilipofikia hii nchi hatuhitaji viongozi wa kuchekacheka na watu!! Ikitokea Rais yupo vile na tukataka na wasaidizi wake wawe kama yeye basi tutegemee kina Bashe na Mwigulu kuongezeka nchini.

Tafadhali tuacheni Tanganyika yetu!! Viongozi wa Kitanganyika lazima Waamuke na kucharuka!!

Hapana kabisa kuruhusu huu uzenji
Samia huyu hafanyi maamuzi kwa hearsays. Mahakama.ndo inapaswa imshibitishe bashe kama ni kwelinyanayosemwa au la. Mbona mpina haendi mahalamani. Umeshajiuliza? Anaogopa nini
 
Hii nchi Samia asingeinusuru baada ya torture tulizozipitia surely akina tundu lisu na lema au mbowe wangekuwa bado wako ughaibuni kuogopa kuuawa.

Hii nchi mama kaitoa mbali sana tulikuwa tunaishi kama vile tuko motoni. Ukiamka hijui kama leo ni zami yako kutekwa au la.

Hata information muhimu tulikuwa hatupai kabisa mana magazeti yale ya kuibua madudu yalifungwa kama.vile tanzania dima, mawio, jamhuri nk. Leo yanaandik chochote

Watu tunafurahia maisha biashara zimerudi kama zamani, mahoteli yaliyofungwa kibabe yamerudi kam ngurdoto nk.

Viwanda vilivyofungwa kinzazi kabisa vina operate sasa hivu kama viwanda vya chunvi kule bagamoyo.

Hakuna ubabe tena tulikuwa tumezoea na nchi imetulia sasa mjinga mmoja anayeitwa makonda anataka kuichafua tena nchi.

Hata maaskofu kanisa katoliki hawakupenda kabisa uongozi wa jiwe ndo mana nyaraka zililuwa nyingi. We mtu gani ukikosolewa unatishia kushila pasport kama laivyofanya kwa ask. Niwemugizi na kakobe.
Hiki ndicho unachokiweza kingine ni kubanduliwa, idiot!
 
Samia huyu hafanyi maamuzi kwa hearsays. Mahakama.ndo inapaswa imshibitishe bashe kama ni kwelinyanayosemwa au la. Mbona mpina haendi mahalamani. Umeshajiuliza? Anaogopa nini
Nchi inateketea na ufisadi wewe unaleta taarabu hapa!!

Huyu mama yenu huyu endeleeni kumdanganya!!
 
Nchi inateketea na ufisadi wewe unaleta taarabu hapa!!

Huyu mama yenu huyu endeleeni kumdanganya!!
Nani kakwambia kuna ifisadi. Leta ushahidi. Au na wewe unasikia tu
 
Kuwa kiongozi inategemea na watu unaowaongoza.
 
Hakuna ubabe tena tulikuwa tumezoea na nchi imetulia sasa mjinga mmoja anayeitwa makonda anataka kuichafua tena nchi
Hii nchi ukiwa na busara sana wanakuona mjinga, dawa kiburi ni jeuri... Makondq yuko sawa!!!
 
Mbona unatuchanganya? Yaani aliyemteua awe ma busara afu aliyeteukiwa awe hana hata chembe?

Hebu weka hoja yako vizuri
 
Mahakama zipo kwa ajiri hiyo vinginevyo zingefutwa. Makonda hawezi kuwa mahakama. Kesho akiamua kula mke wako utamfanyaje mana akiachwa ndo kitakachofata
Makonda hataka ujinga ujinga, hataki uonevu anapenda haki ndio maana huwa anakerwa na dhuluma na uonevu kwa wananchi.
ni kiongozi anaye guswa na kuumizwa sana na matatizo ya wananchi.anapenda sana haki. hilo ndio tatizo lake.
Wanao mchukia ni wale wote wanao penda dhuluma na waonevu. Makonda ni kiongozi.
 
Makonda hataka ujinga ujinga, hataki uonevu anapenda haki ndio maana huwa anakerwa na dhuluma na uonevu kwa wananchi.
ni kiongozi anaye guswa na kuumizwa sana na matatizo ya wananchi.anapenda sana haki. hilo ndio tatizo lake.
Wanao mchukia ni wale wote wanao penda dhuluma na waonevu. Makonda ni kiongozi.
Hii ncho siyo mali yake na familia yake inaomgozwa kwa utaratibu na systems. Ubabe wake akamfanyie mkewe au aka exercise kwa mwanae. Sisi tunaongozwa na mkuu wa mkoa siyo makonda. Makonda is nothing tha a big country like this
 
Back
Top Bottom