Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Sasa akishawakamata anatumia sheria gani kuwashtaki? Hii nchi hii, hahaha.Hakuna sheria ya nchi inayokata ukahaba/umalaya mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa akishawakamata anatumia sheria gani kuwashtaki? Hii nchi hii, hahaha.Hakuna sheria ya nchi inayokata ukahaba/umalaya mkuu
Waachie wana sheria ndo wanajua. We baki na ualimu wako.Sasa akishawakamata anatumia sheria gani kuwashtaki? Hii nchi hii, hahaha.
Nimemsikia anasema wafikishwe mahakamani mahakama itafsiri sheria!Waachie wana sheria ndo wanajua. We baki na ualimu wako.
Ndiyo. Wanasheria watajua vifungu ni vipi vya kuwavictimise. We na mimi hatuwezi kujua mana siyo wanasheria. Sheria ni profession siyo kila mtu anajuaNimemsikia anasema wafikishwe mahakamani mahakama itafsiri sheria!
Magufuli style ndio sahihi ina a rotten system.Rais mzuri ni yule anayeheshimu vyombo vingine siyo yeye ndo kila kitu kama ilivyokuwa kwa jpm. Kipindi cha jpm mahakama na bunge vilikuwa na kazi mana yeye ndo alikuwa kila kitu. Utawala wa sheria hautaki hivyo. Rais yeye yuko katika mhimili wa serikali ambayo kazi yake ni kukamata tu na kuiachia mahakama kufanya kazi yake.
Na wewe wamekukamata?Waachie wana sheria ndo wanajua. We baki na ualimu wako.
Ubaya wa utawala wa jpm.hakuna ambaye anaweza kujua kama kamuonea mtu au la mana kila kitu kinakuwa paralysed. Kumbuka yeye ni binadamu anaweza kuwashughulia mahasimu wake kisiasa kwa mgongo wa ufisadi ili kuwahadaa watu kama alivyofanya kuwafukuza watu makazini eti vyeti feki kumbe ni chadema wanaompinga ndo mana mama kawarudisha fastaMagufuli style ndio sahihi ina a rotten system.
Ila kwakua mafisadi na wahuni wengi wana nguvu na wanaopiganiwa bado hawajajitambua basi Acha tuandelee hivi hivi mpaka Mungu mwenyewe atakapoamua vinginevyo.
Ondoa ujinga wako hapa, polisi anapomkata mtu lazima amwambie anamkamata kwa kosa gani, sio ukamate watu halafu ndio uanze kuwatafutia makosa ya kuwashitaki.Ndiyo. Wanasheria watajua vifungu ni vipi vya kuwavictimise. We na mimi hatuwezi kujua mana siyo wanasheria. Sheria ni profession siyo kila mtu anajua
Umeshaambiwa kosa ni kujiuza.Ondoa ujinga wako hapa, polisi anapomkata mtu lazima amwambie anamkamata kwa kosa gani, sio ukamate watu halafu ndio uanze kuwatafutia makosa ya kuwashitaki.
Hivi aliwarudisha?Ubaya wa utawala wa jpm.hakuna ambaye anaweza kujua kama kamuonea mtu au la mana kila kitu kinakuwa paralysed. Kumbuka yeye ni binadamu anaweza kuwashughulia mahasimu wake kisiasa kwa mgongo wa ufisadi ili kuwahadaa watu kama alivyofanya kuwafukuza watu makazini eti vyeti feki kumbe ni chadema wanaompinga ndo mana mama kawarudisha fasta
Kumbuka mwili wako ni mali ya serikali siyo mali yako binafsiOndoa ujinga wako hapa, polisi anapomkata mtu lazima amwambie anamkamata kwa kosa gani, sio ukamate watu halafu ndio uanze kuwatafutia makosa ya kuwashitaki.
Unadhani kuongoza ni kama ulivyompumbavu wewe...chuki yako kwa makonda haitamzuia kamwe kufikia hitaji la Watanzania. Endelea kusifu matapeli na majinga kama wewe achana na makonda. Makonda ndiye ajaye zombie weweHii nchi Samia asingeinusuru baada ya torture tulizozipitia surely akina tundu lisu na lema au mbowe wangekuwa bado wako ughaibuni kuogopa kuuawa.
Hii nchi mama kaitoa mbali sana tulikuwa tunaishi kama vile tuko motoni. Ukiamka hijui kama leo ni zami yako kutekwa au la.
Hata information muhimu tulikuwa hatupai kabisa mana magazeti yale ya kuibua madudu yalifungwa kama.vile tanzania dima, mawio, jamhuri nk. Leo yanaandik chochote
Watu tunafurahia maisha biashara zimerudi kama zamani, mahoteli yaliyofungwa kibabe yamerudi kam ngurdoto nk.
Viwanda vilivyofungwa kinzazi kabisa vina operate sasa hivu kama viwanda vya chunvi kule bagamoyo.
Hakuna ubabe tena tulikuwa tumezoea na nchi imetulia sasa mjinga mmoja anayeitwa makonda anataka kuichafua tena nchi.
Hata maaskofu kanisa katoliki hawakupenda kabisa uongozi wa jiwe ndo mana nyaraka zililuwa nyingi. We mtu gani ukikosolewa unatishia kushila pasport kama laivyofanya kwa ask. Niwemugizi na kakobe.
Aliwaridisha wote baada ya mahakama kuona ilikuwa chuki za jpm. Tanzania hakuna mwenye cheti feki. Kwanza mwenye cheti feki hawezi kuwa confident ya kazi
We huoni hata ukatibu mwenezi ulimshinda? Uongozi unahitaji hekima kubwa sana vinginevyo utakufa fasta kwa visilani kama jpmUnadhani kuongoza ni kama ulivyompumbavu wewe...chuki yako kwa makonda haitamzuia kamwe kufikia hitaji la Watanzania. Endelea kusifu matapeli na majinga kama wewe achana na makonda. Makonda ndiye ajaye zombie wewe
Nchi hii Rais hana mamlaka ya kuzuia mikutano ya siasa bila decree rasmi iliyokidhi matakwa ya katiba.Hakuna nchi ambayo ina ceremonial president kwa asilimia zote.
Lazima kuna mambo anakuwa na mamlaka nayo kwa asilimia zote kwamba yeye ndio final.
Sasa kama mtu Huna maamuzi kuna haja gani ubakie hapo ulipo.
Unafikiri kwanini tuendelee kuwa na wewe.
Kwani ni lazima??
Si ujiuzulu tu.
Hilo takataka unalisifu bure halina hekima. Hebu ona migogoro anayotatua Jerry Silaa, imejaa hekima siyo hii takataka linafikri ubabe ndio unasaidia. Kwani kutatua migogoro lazima udhalilishe watu? Pumbavu kabisaaa!Jamii inahitaji sana watu kama aina ya Makonda.
Ubabe wake unasaidia sana wanao onewa.
Kuna mijitu ina fedha na wanatumia uwezo wao wa kifedha kuonea na kuwadhulumu wanyong'e wasio na uwezo.
Kuna mijitu inatumia madaraka yao kuwadhulumu wasio julikana.
Kama tutakuwa na viongozi wa aina ya Makonda basi uonevu na dhuluma zitakwisha kabisa.
Kama ningekuwa na uwezo wa kuteua basi Makonda anafaa kuwa Waziri kamili.
Wewe ni mvivu, mzembe, MLA rushwa na Hauna Maarifa yoyote ya ulichokisomea.Hii nchi Samia asingeinusuru baada ya torture tulizozipitia surely akina tundu lisu na lema au mbowe wangekuwa bado wako ughaibuni kuogopa kuuawa.
Hii nchi mama kaitoa mbali sana tulikuwa tunaishi kama vile tuko motoni. Ukiamka hijui kama leo ni zami yako kutekwa au la.
Hata information muhimu tulikuwa hatupai kabisa mana magazeti yale ya kuibua madudu yalifungwa kama.vile tanzania dima, mawio, jamhuri nk. Leo yanaandik chochote
Watu tunafurahia maisha biashara zimerudi kama zamani, mahoteli yaliyofungwa kibabe yamerudi kam ngurdoto nk.
Viwanda vilivyofungwa kinzazi kabisa vina operate sasa hivu kama viwanda vya chunvi kule bagamoyo.
Hakuna ubabe tena tulikuwa tumezoea na nchi imetulia sasa mjinga mmoja anayeitwa makonda anataka kuichafua tena nchi.
Hata maaskofu kanisa katoliki hawakupenda kabisa uongozi wa jiwe ndo mana nyaraka zililuwa nyingi. We mtu gani ukikosolewa unatishia kushila pasport kama laivyofanya kwa ask. Niwemugizi na kakobe.
Kero za wananchi hazitatuliwi vile.Makonda ni kiongozi ambaye anapaswa kuigwa kwa Yale mazuri yake...RC's wote wanapaswa kuishi maisha ya Makonda ya kutong'ang'ania vitu maofisini na badala yake wakasikimize kero za wananchi huko waliko....
Basi wewe itakua vyeti feki.Ubaya wa utawala wa jpm.hakuna ambaye anaweza kujua kama kamuonea mtu au la mana kila kitu kinakuwa paralysed. Kumbuka yeye ni binadamu anaweza kuwashughulia mahasimu wake kisiasa kwa mgongo wa ufisadi ili kuwahadaa watu kama alivyofanya kuwafukuza watu makazini eti vyeti feki kumbe ni chadema wanaompinga ndo mana mama kawarudisha fasta