Makonda hafai kuwa kiongozi kabisa. Uongozi unahitaji busara na hekima kama Rais Samia alivyo

Makonda hafai kuwa kiongozi kabisa. Uongozi unahitaji busara na hekima kama Rais Samia alivyo

Nimemsikia anasema wafikishwe mahakamani mahakama itafsiri sheria!
Ndiyo. Wanasheria watajua vifungu ni vipi vya kuwavictimise. We na mimi hatuwezi kujua mana siyo wanasheria. Sheria ni profession siyo kila mtu anajua
 
Rais mzuri ni yule anayeheshimu vyombo vingine siyo yeye ndo kila kitu kama ilivyokuwa kwa jpm. Kipindi cha jpm mahakama na bunge vilikuwa na kazi mana yeye ndo alikuwa kila kitu. Utawala wa sheria hautaki hivyo. Rais yeye yuko katika mhimili wa serikali ambayo kazi yake ni kukamata tu na kuiachia mahakama kufanya kazi yake.
Magufuli style ndio sahihi ina a rotten system.

Ila kwakua mafisadi na wahuni wengi wana nguvu na wanaopiganiwa bado hawajajitambua basi Acha tuandelee hivi hivi mpaka Mungu mwenyewe atakapoamua vinginevyo.
 
Magufuli style ndio sahihi ina a rotten system.

Ila kwakua mafisadi na wahuni wengi wana nguvu na wanaopiganiwa bado hawajajitambua basi Acha tuandelee hivi hivi mpaka Mungu mwenyewe atakapoamua vinginevyo.
Ubaya wa utawala wa jpm.hakuna ambaye anaweza kujua kama kamuonea mtu au la mana kila kitu kinakuwa paralysed. Kumbuka yeye ni binadamu anaweza kuwashughulia mahasimu wake kisiasa kwa mgongo wa ufisadi ili kuwahadaa watu kama alivyofanya kuwafukuza watu makazini eti vyeti feki kumbe ni chadema wanaompinga ndo mana mama kawarudisha fasta
 
Ndiyo. Wanasheria watajua vifungu ni vipi vya kuwavictimise. We na mimi hatuwezi kujua mana siyo wanasheria. Sheria ni profession siyo kila mtu anajua
Ondoa ujinga wako hapa, polisi anapomkata mtu lazima amwambie anamkamata kwa kosa gani, sio ukamate watu halafu ndio uanze kuwatafutia makosa ya kuwashitaki.
 
Ondoa ujinga wako hapa, polisi anapomkata mtu lazima amwambie anamkamata kwa kosa gani, sio ukamate watu halafu ndio uanze kuwatafutia makosa ya kuwashitaki.
Umeshaambiwa kosa ni kujiuza.
 
Ubaya wa utawala wa jpm.hakuna ambaye anaweza kujua kama kamuonea mtu au la mana kila kitu kinakuwa paralysed. Kumbuka yeye ni binadamu anaweza kuwashughulia mahasimu wake kisiasa kwa mgongo wa ufisadi ili kuwahadaa watu kama alivyofanya kuwafukuza watu makazini eti vyeti feki kumbe ni chadema wanaompinga ndo mana mama kawarudisha fasta
Hivi aliwarudisha?
Au aliambiwa awarudishe?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ondoa ujinga wako hapa, polisi anapomkata mtu lazima amwambie anamkamata kwa kosa gani, sio ukamate watu halafu ndio uanze kuwatafutia makosa ya kuwashitaki.
Kumbuka mwili wako ni mali ya serikali siyo mali yako binafsi
 
Hii nchi Samia asingeinusuru baada ya torture tulizozipitia surely akina tundu lisu na lema au mbowe wangekuwa bado wako ughaibuni kuogopa kuuawa.

Hii nchi mama kaitoa mbali sana tulikuwa tunaishi kama vile tuko motoni. Ukiamka hijui kama leo ni zami yako kutekwa au la.

Hata information muhimu tulikuwa hatupai kabisa mana magazeti yale ya kuibua madudu yalifungwa kama.vile tanzania dima, mawio, jamhuri nk. Leo yanaandik chochote

Watu tunafurahia maisha biashara zimerudi kama zamani, mahoteli yaliyofungwa kibabe yamerudi kam ngurdoto nk.

Viwanda vilivyofungwa kinzazi kabisa vina operate sasa hivu kama viwanda vya chunvi kule bagamoyo.

Hakuna ubabe tena tulikuwa tumezoea na nchi imetulia sasa mjinga mmoja anayeitwa makonda anataka kuichafua tena nchi.

Hata maaskofu kanisa katoliki hawakupenda kabisa uongozi wa jiwe ndo mana nyaraka zililuwa nyingi. We mtu gani ukikosolewa unatishia kushila pasport kama laivyofanya kwa ask. Niwemugizi na kakobe.
Unadhani kuongoza ni kama ulivyompumbavu wewe...chuki yako kwa makonda haitamzuia kamwe kufikia hitaji la Watanzania. Endelea kusifu matapeli na majinga kama wewe achana na makonda. Makonda ndiye ajaye zombie wewe
 
Unadhani kuongoza ni kama ulivyompumbavu wewe...chuki yako kwa makonda haitamzuia kamwe kufikia hitaji la Watanzania. Endelea kusifu matapeli na majinga kama wewe achana na makonda. Makonda ndiye ajaye zombie wewe
We huoni hata ukatibu mwenezi ulimshinda? Uongozi unahitaji hekima kubwa sana vinginevyo utakufa fasta kwa visilani kama jpm
 
Hakuna nchi ambayo ina ceremonial president kwa asilimia zote.

Lazima kuna mambo anakuwa na mamlaka nayo kwa asilimia zote kwamba yeye ndio final.

Sasa kama mtu Huna maamuzi kuna haja gani ubakie hapo ulipo.

Unafikiri kwanini tuendelee kuwa na wewe.

Kwani ni lazima??

Si ujiuzulu tu.
Nchi hii Rais hana mamlaka ya kuzuia mikutano ya siasa bila decree rasmi iliyokidhi matakwa ya katiba.
Hana mamlaka ya kutumia pesa nje ya bajeti ya bunge.
 
Jamii inahitaji sana watu kama aina ya Makonda.
Ubabe wake unasaidia sana wanao onewa.
Kuna mijitu ina fedha na wanatumia uwezo wao wa kifedha kuonea na kuwadhulumu wanyong'e wasio na uwezo.
Kuna mijitu inatumia madaraka yao kuwadhulumu wasio julikana.
Kama tutakuwa na viongozi wa aina ya Makonda basi uonevu na dhuluma zitakwisha kabisa.

Kama ningekuwa na uwezo wa kuteua basi Makonda anafaa kuwa Waziri kamili.
Hilo takataka unalisifu bure halina hekima. Hebu ona migogoro anayotatua Jerry Silaa, imejaa hekima siyo hii takataka linafikri ubabe ndio unasaidia. Kwani kutatua migogoro lazima udhalilishe watu? Pumbavu kabisaaa!
 
Hii nchi Samia asingeinusuru baada ya torture tulizozipitia surely akina tundu lisu na lema au mbowe wangekuwa bado wako ughaibuni kuogopa kuuawa.

Hii nchi mama kaitoa mbali sana tulikuwa tunaishi kama vile tuko motoni. Ukiamka hijui kama leo ni zami yako kutekwa au la.

Hata information muhimu tulikuwa hatupai kabisa mana magazeti yale ya kuibua madudu yalifungwa kama.vile tanzania dima, mawio, jamhuri nk. Leo yanaandik chochote

Watu tunafurahia maisha biashara zimerudi kama zamani, mahoteli yaliyofungwa kibabe yamerudi kam ngurdoto nk.

Viwanda vilivyofungwa kinzazi kabisa vina operate sasa hivu kama viwanda vya chunvi kule bagamoyo.

Hakuna ubabe tena tulikuwa tumezoea na nchi imetulia sasa mjinga mmoja anayeitwa makonda anataka kuichafua tena nchi.

Hata maaskofu kanisa katoliki hawakupenda kabisa uongozi wa jiwe ndo mana nyaraka zililuwa nyingi. We mtu gani ukikosolewa unatishia kushila pasport kama laivyofanya kwa ask. Niwemugizi na kakobe.
Wewe ni mvivu, mzembe, MLA rushwa na Hauna Maarifa yoyote ya ulichokisomea.

Hivo unahitaji muda wote mambo yaendelee kama ulivyo ww .
 
Makonda ni kiongozi ambaye anapaswa kuigwa kwa Yale mazuri yake...RC's wote wanapaswa kuishi maisha ya Makonda ya kutong'ang'ania vitu maofisini na badala yake wakasikimize kero za wananchi huko waliko....
 
Makonda ni kiongozi ambaye anapaswa kuigwa kwa Yale mazuri yake...RC's wote wanapaswa kuishi maisha ya Makonda ya kutong'ang'ania vitu maofisini na badala yake wakasikimize kero za wananchi huko waliko....
Kero za wananchi hazitatuliwi vile.
 
Ubaya wa utawala wa jpm.hakuna ambaye anaweza kujua kama kamuonea mtu au la mana kila kitu kinakuwa paralysed. Kumbuka yeye ni binadamu anaweza kuwashughulia mahasimu wake kisiasa kwa mgongo wa ufisadi ili kuwahadaa watu kama alivyofanya kuwafukuza watu makazini eti vyeti feki kumbe ni chadema wanaompinga ndo mana mama kawarudisha fasta
Basi wewe itakua vyeti feki.
 
Back
Top Bottom