Makonda hafai kuwa kiongozi kabisa. Uongozi unahitaji busara na hekima kama Rais Samia alivyo

Hii nchi ukiwa na busara sana wanakuona mjinga, dawa kiburi ni jeuri... Makondq yuko sawa!!!
Ncho siyo familia ndugu yangu ina mchanganyiko wa wehu na welevu kama rais lazima ujue hilo
 
Vp makonda nae akiwa muonevu kwa wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…