Makonda is a charismatic leader. He will forever be unstoppable and beyond compare

Makonda is a charismatic leader. He will forever be unstoppable and beyond compare

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
 
Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
Kula nyama ndio ubunifu?Wewe ni zwazwa kabisa.
 
Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
DAB ni tapeli, apuuzwe!!!!!

a leader of hooligans
 
Back
Top Bottom