Makonda is a charismatic leader. He will forever be unstoppable and beyond compare

Makonda is a charismatic leader. He will forever be unstoppable and beyond compare

Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
Acha post za kitoto, makondwa anabebebwa tu hana lolote
 
Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
Mmelishwa nyama mmeshiba mnakuja kubehua huku jf
 
Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
Je, na wewe ni mnufaika wa nyama za ng'ombe huko Arusha?
 
Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
Katika watu milioni 60+, unamuona makonda, charismatic!? Makonda ni sycophants, chawa tu, ana weak academic qualifications, Hana, tofauti ni kibaka tu, bila nguvu ya dola nyuma yake, ni makapi tu,
 
Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
Sasa bwana Makonda,mbona vitu unavyofanya ni vya kawaida mno!!!
 
Katika watu milioni 60+, unamuona makonda, charismatic!? Makonda ni sycophants, chawa tu, ana weak academic qualifications, Hana, tofauti ni kibaka tu, bila nguvu ya dola nyuma yake, ni makapi tu,
Hujiulizi kwa nini apate nguvu ya dola na asiwe wewe?
 
Africans are working hard in their own way. Definition ya kiongozi mchapakazi na mbunifu kwa Watanzania ni ya kipekee dunia nzima. Ukisikia mtz anamsifia kiongozi unaweza kudhani kabadilisha tz kuwa kama singapore
Kifikra tunasafari ndefu sana kama jamii kuna siku nilisema tanzania ukisikia mtu anaitwa genius au anaakili kaangalie metric iliyotumika kumuita hivyo utabaki mdomo wazi
 
Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
Kwa sababu ya nyama!
 
Back
Top Bottom