Makonda is a charismatic leader. He will forever be unstoppable and beyond compare

Makonda is a charismatic leader. He will forever be unstoppable and beyond compare

Makonda is an active comedian. He doesn't poses leadership skills. Kwanza hana shule yoyote. Alifoji vyeti and surprisingly jpm akaonea webgine yeye akamuacha. Ndo mana tunasema tunasema jpm hakuwa na nia ya vyeti feki bali kuwakomoa mahasimu wake na kutafuta cheap popularity qs how most dictators do
Wewe mwenye shule uko wapi? Maprofesa wanadai wameokotwa jalalani?? Kwa hiyo na wewe ulikuwa hasimu wa JPM? We funza tu
 
Wewe mwenye shule uko wapi? Maprofesa wanadai wameokotwa jalalani?? Kwa hiyo na wewe ulikuwa hasimu wa JPM? We funza tu
Jpm hakustahili kuwa rais basi tu nchi iliparaganyika kwa ugomvi wa lowasa na membe. Ndo mana kafa fasta mana uweso wake ulikuwa mdogo. Survival of the fittest. He was not fit to survive
 
Ilikuwa
Kuchoma nyama ni siku ya kilele tu kuadhimisha siku ya wanawake ila wiki imekuwa na mambo kedekede. Hujui kuwa Mwakubusi na team yake wapo Arusha?
Na ulazima kuchoma nyama? Hiyo pesa si wangeenda kujenga vyoo shule ya msingi sombetini?
 
Jpm hakustahili kuwa rais basi tu nchi iliparaganyika kwa ugomvi wa lowasa na membe. Ndo mana kafa fasta mana uweso wake ulikuwa mdogo. Survival of the fittest. He was not fit to survive
Sawa, wewe Mungu
 
Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
Pole sana kwa kudanganyika kwa "chips yai" kiasi cha kutoa mzigo.
Jitahidi watoto wako wasiwe na tamaa ya vitu vidogo vidogo kama wewe ili wasije kupewa mimba na kufanywa mashoga kwa nyama choma.
 
Makonda is an active comedian. He doesn't poses leadership skills. Kwanza hana shule yoyote. Alifoji vyeti and surprisingly jpm akaonea webgine yeye akamuacha. Ndo mana tunasema tunasema jpm hakuwa na nia ya vyeti feki bali kuwakomoa mahasimu wake na kutafuta cheap popularity qs how most dictators do
Ok, hebu tutajie hao viongozi wasomi wenye leadership skill hapa tanzania
 
Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
Makonda is useless as long as he is chawa like Kafulia and others. He won't go anywhere. Greed is his tool and ignorance and arrogance are his weapons. Lies as well are his lifeline.
 
Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
Ndio maana wazungu wanatudharau
 
Makonda is useless as long as he is chawa like Kafulia and others. He won't go anywhere. Greed is his tool and ignorance and arrogance are his weapons. Lies as well are his lifeline.
Sawa Gambo, lakini Makonda ndio mbunge wetu ajae wa Arusha, hakuna wa kushindana nae
 
Makonda ameifanya Arusha kuchangamka mno. Dar Es Salaam tume miss miubunifu yake.

Watu wanabaki wanajiuliza, anawezaje Huyu Bwana? Ukweli ni kwamba, Makonda anajielewa sana + na watu wanamkubali sana.

Ni vitu vingi kafanya Arusha afu watu wanabaki wanajiuliza kaweza je huyu bwana?

Siyo pesa yake
Siyo serikali
Ni pesa ya wananchi wanaohitolea kukiwasha mkoani kwao.

Mkoani kwangu sijui hata yupo nani, can you imagine?
I love Arusha
 
Back
Top Bottom