Makonda is a charismatic leader. He will forever be unstoppable and beyond compare

Acha post za kitoto, makondwa anabebebwa tu hana lolote
 
Mmelishwa nyama mmeshiba mnakuja kubehua huku jf
 
Je, na wewe ni mnufaika wa nyama za ng'ombe huko Arusha?
 
Katika watu milioni 60+, unamuona makonda, charismatic!? Makonda ni sycophants, chawa tu, ana weak academic qualifications, Hana, tofauti ni kibaka tu, bila nguvu ya dola nyuma yake, ni makapi tu,
 
Sasa bwana Makonda,mbona vitu unavyofanya ni vya kawaida mno!!!
 
Katika watu milioni 60+, unamuona makonda, charismatic!? Makonda ni sycophants, chawa tu, ana weak academic qualifications, Hana, tofauti ni kibaka tu, bila nguvu ya dola nyuma yake, ni makapi tu,
Hujiulizi kwa nini apate nguvu ya dola na asiwe wewe?
 
Africans are working hard in their own way. Definition ya kiongozi mchapakazi na mbunifu kwa Watanzania ni ya kipekee dunia nzima. Ukisikia mtz anamsifia kiongozi unaweza kudhani kabadilisha tz kuwa kama singapore
Kifikra tunasafari ndefu sana kama jamii kuna siku nilisema tanzania ukisikia mtu anaitwa genius au anaakili kaangalie metric iliyotumika kumuita hivyo utabaki mdomo wazi
 
Kwa sababu ya nyama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…