Makonda is a charismatic leader. He will forever be unstoppable and beyond compare

Kwa hiyo charisma inatafutwa kwa kuchinja ngombe 400?
 
ubunifu
 
Kwa huu ujinga wa kufanya tushindwe kufanya kazi siku 3? Kweli hamjui priority za utafutaji nyinyi!
 
Jamaa kasema bashite ni charismatic. Kwani Charismatic RC anaweza kufanya ujinga?
Nikiri tu kuwa wajinga pia ni wengi hapa JF. Hivi mnashindwaje kujua maana ya charismatic leader au person? Kuwa charismatic in a very simple language ni kuwa na mvuto.
Mvuto haujalishi mtu anafanya vizuri au vibaya ila anamvutoooo.

Mtu mwerevu anafanya hivi: Kama kuna kitu huelewi, basi uliza au tafuta kwenye vitabu, google, tumia AI

Yaani neno charismatic linawachanganya kiasi hiko? Duuh?
 
Mungu amlinde na Kumbariki Makonda.

Namuombea nafasi kubwa katika Taifa letu.
 
Kwa hiyo kumbe charismatic maana yake ni kuwa na mvuto? Kwa hiyo Nimekosa mimi, nimekosa sana, naomba unisamehe
 
Bashite(mtumia vyeti vya Makonda) alikuwa na ubunifu kwenye kuongoza kundi la wasiojulikana pamoja na ile coalition yake na Dudu Baya ya kutangaza machoko.
 
Hii nchi tujishukuru tu tutaendelea kubakia mazwazwa mpaka yesu ashuke kuchoma nyama ndiyo ubunifu?
 
Hii nchi tujishukuru tu tutaendelea kubakia mazwazwa mpaka yesu ashuke kuchoma nyama ndiyo ubunifu?
Kuchoma nyama ni siku ya kilele tu kuadhimisha siku ya wanawake ila wiki imekuwa na mambo kedekede. Hujui kuwa Mwakubusi na team yake wapo Arusha?
 
Makonda is an active comedian. He doesn't poses leadership skills. Kwanza hana shule yoyote. Alifoji vyeti and surprisingly jpm akaonea webgine yeye akamuacha. Ndo mana tunasema tunasema jpm hakuwa na nia ya vyeti feki bali kuwakomoa mahasimu wake na kutafuta cheap popularity qs how most dictators do
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…