Makonda is a charismatic leader. He will forever be unstoppable and beyond compare

Wewe mwenye shule uko wapi? Maprofesa wanadai wameokotwa jalalani?? Kwa hiyo na wewe ulikuwa hasimu wa JPM? We funza tu
 
Wewe mwenye shule uko wapi? Maprofesa wanadai wameokotwa jalalani?? Kwa hiyo na wewe ulikuwa hasimu wa JPM? We funza tu
Jpm hakustahili kuwa rais basi tu nchi iliparaganyika kwa ugomvi wa lowasa na membe. Ndo mana kafa fasta mana uweso wake ulikuwa mdogo. Survival of the fittest. He was not fit to survive
 
Ilikuwa
Kuchoma nyama ni siku ya kilele tu kuadhimisha siku ya wanawake ila wiki imekuwa na mambo kedekede. Hujui kuwa Mwakubusi na team yake wapo Arusha?
Na ulazima kuchoma nyama? Hiyo pesa si wangeenda kujenga vyoo shule ya msingi sombetini?
 
Jpm hakustahili kuwa rais basi tu nchi iliparaganyika kwa ugomvi wa lowasa na membe. Ndo mana kafa fasta mana uweso wake ulikuwa mdogo. Survival of the fittest. He was not fit to survive
Sawa, wewe Mungu
 
Pole sana kwa kudanganyika kwa "chips yai" kiasi cha kutoa mzigo.
Jitahidi watoto wako wasiwe na tamaa ya vitu vidogo vidogo kama wewe ili wasije kupewa mimba na kufanywa mashoga kwa nyama choma.
 
Ok, hebu tutajie hao viongozi wasomi wenye leadership skill hapa tanzania
 
Makonda is useless as long as he is chawa like Kafulia and others. He won't go anywhere. Greed is his tool and ignorance and arrogance are his weapons. Lies as well are his lifeline.
 
Ndio maana wazungu wanatudharau
 
Makonda is useless as long as he is chawa like Kafulia and others. He won't go anywhere. Greed is his tool and ignorance and arrogance are his weapons. Lies as well are his lifeline.
Sawa Gambo, lakini Makonda ndio mbunge wetu ajae wa Arusha, hakuna wa kushindana nae
 
I love Arusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…