Makonda is a charismatic leader. He will forever be unstoppable and beyond compare

Kwamba alikuwa kwenye kikosi kazi cha Jiwe cha kuteka na kuuwa watu hilo nalo lilikuwa kipawa?

Kuna ushahidi humu jf kuhusu jambo hilo, je huoni aibu kumfagilia wakala wa mauaji aliyepigwa marufuku kugusa Marekani kwa kukatisha uhai wa binadamu? Au umesukumwa na njaa?
 
Hizi ndizo akili tulizonazo kwenye hili taifa. Sijui tulimkosea nini Muumba.
 
Kitu gani cha kibunifu kafanya?
 
Kuna tetesi ni nyama za matambiko,ili kuteka mji na kutafuta utiisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…