Daaah nimekurupuka kugonga dislike kabla ya kusiliza video....lakini Bwana aweza kumtumia yeyote kutangaza injili, anaweza asiwe sahihi Kwa baadhi ya maneno lakini sms sent, MUNGU AMTIE NGUVU ZAIDI....Huyu mpumbaf aliekosa hata D siwezi maliza mb zangu kumsikiliza
Thread 'Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero' https://www.jamiiforums.com/threads/mchungaji-gwajima-daudi-albert-bashite-alipata-division-zero.1207372/
😂Huyu mpumbaf aliekosa hata D siwezi maliza mb zangu kumsikiliza
Thread 'Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero' https://www.jamiiforums.com/threads/mchungaji-gwajima-daudi-albert-bashite-alipata-division-zero.1207372/
Nimemkumbuka na mzee wa Galilaya bwana Ndugai😂😂😂Duuu kweli huyu jamaa alipata zero, eti mfalme Nebukadrineza alipoota….alichomoka mtu gerezani anayeitwa Yusuph!😂😂😂
Kweli huyu Gwajima hakukoseaaa
Hii ndo shida ya watu wasio na akili kupewa madaraka
ika