Makonda kupata teuzi wakati wowote kutoka sasa

Makonda kupata teuzi wakati wowote kutoka sasa

Mimi namkubali Makonda katika utendaji wake ila kwa aliyopitia sidhani kama tutakuwa na Makonda yule tuliyemzoea kaandamwa sana katengwa kadhalilishwa nadhani sasa ana inferiority complex kule kujiamini kama alivyokuwa mwanzoni na mbwembwe hazipo tena kiufupi amepoa just my opinion

Na pia inaonekana hata iyo teuzi aliyopata hajaifurahia kabisa, nikama vile umechapwa na mama alaf baadae anakuita mwanangu njoo chukua andaziiiiiii eeeh
 
kama wewe makazi yako siku zote ni ndani ya pango lenye kiza kikubwa, kusikofika na mwanga wowote, nipo tayari kukupa hiyo mifano unayoitaka wewe kwa vile hakuna lolote unalolifahamu.
Unachotakiwa hapa, nipe tu ushahidi wa kuonyesha kuwa makazi yako ni pangoni, nami nipo tayari kukupa shule kamili ili kuondoa ujinga wako.
Unakimbiakimbia tu ,manake umejaa chuki lakini hujui inatokana na nini,kila nikikuuliza swali unarukaruka.kwaheri
 
Kwa hali inayoendelea na kwa uzoefu wa mambo ya bongo yetu soon makonda atakula teuzi, naona kabisa kuna upande unamuhitaji kwa kudhani anaweza kuwa msaada kwao, haihitaji kuwa kwenye system kuijua bongo yetu.
Umetisha sana Mzee!!!!
 
Unakimbiakimbia tu ,manake umejaa chuki lakini hujui inatokana na nini,kila nikikuuliza swali unarukaruka.kwaheri
Sasa hapa ndio umeandika kitu gani cha kumfanya mtu aelewe ni kipi hasa unakisimamia?
Umeniona "nikikimbiakimbia", nikikimbilia wapi?

"Nimejaa chuki", umeziona nimezibandika usoni mwangu. Umejuaje ni chuki,halafu unasema "hujui inatokana na nini?"

Ni swali gani umeniuliza nikashindwa kulijibu? Elewa kwamba hata ukiuliza swali la kipumbavu, nitakujibu hivyo hivyo kipumbavu.
 
Back
Top Bottom