Makonda kupata teuzi wakati wowote kutoka sasa


Na pia inaonekana hata iyo teuzi aliyopata hajaifurahia kabisa, nikama vile umechapwa na mama alaf baadae anakuita mwanangu njoo chukua andaziiiiiii eeeh
 
Unakimbiakimbia tu ,manake umejaa chuki lakini hujui inatokana na nini,kila nikikuuliza swali unarukaruka.kwaheri
 
Kwa hali inayoendelea na kwa uzoefu wa mambo ya bongo yetu soon makonda atakula teuzi, naona kabisa kuna upande unamuhitaji kwa kudhani anaweza kuwa msaada kwao, haihitaji kuwa kwenye system kuijua bongo yetu.
Umetisha sana Mzee!!!!
 
Unakimbiakimbia tu ,manake umejaa chuki lakini hujui inatokana na nini,kila nikikuuliza swali unarukaruka.kwaheri
Sasa hapa ndio umeandika kitu gani cha kumfanya mtu aelewe ni kipi hasa unakisimamia?
Umeniona "nikikimbiakimbia", nikikimbilia wapi?

"Nimejaa chuki", umeziona nimezibandika usoni mwangu. Umejuaje ni chuki,halafu unasema "hujui inatokana na nini?"

Ni swali gani umeniuliza nikashindwa kulijibu? Elewa kwamba hata ukiuliza swali la kipumbavu, nitakujibu hivyo hivyo kipumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…