Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I wish it was easy like thisKashashtukia mchezo watu washamtonya unajua nini mnapopanga mipango ya nanihu kuna wale ambao hawapendi Ila nao wanakua washiriki na nanihu sasa hao ndio wanaovujisha data kuwatonya upande wa pili kwamba jamani eeh muwe makini huku kuna mpango umeandaliwa
Ndio maana kenye mafia Rules nakumbuka Salvatore Gravano (Sammy Gravano) au Sammy the Bull aliwahi kusema 'We kill Ourselves' akimaanisha mafia huuana wao kwa wao, hawahitaji kuua mtu aliye nje ya circle yao.Pale muuaji anapolia kutaka kuuawa
Chukua hio nimekumegeaI wish it was easy like this
Unaaminije hakuhusika katika safe process!!?Sasa Shujaa Magufuli apumzike kwa Amani
Ahsante Sana kwa Zawadi uliyotuachia ya Huyu Bwana mdogo Paul Makonda 😄
Navalonge swela 😂
Sawa kubwaHujui kitu kaa kimya wewe dogo
Tangu kuanzishwa kwa CCM, siasa za kurogana na kuwekeana sumu na kuuana ndiyo jadi yao.
Kwa sisi tuliokuwa na akili miaka ya 1970s tunaelewa sana hayo mambo, hasa kwa waliokuwa pale idarani.
Ipo siku mafile ya siri yatawekwa hadharani kudhihirisha umafia wa wana CCM na serikali zake.
"CCM hatuachiani maji mezani", Jakaya M. Kikwete.
Mwache ajifarague tu lakini mwisho wa siku atajaa kwenye mfumoHafi ? Ana uhakika gani,
ndo ninachofurahia!anawakimbiza wenzieNa anawakimbiza kweli CCM. Mpaka juzi wamerudisha kiwannja Cha bibi wa watu.