Makonda: Kwa taarifa yenu sifi! Mtege sumu kwenye vyumba mnapoteza muda tu

Makonda: Kwa taarifa yenu sifi! Mtege sumu kwenye vyumba mnapoteza muda tu

Kashashtukia mchezo watu washamtonya unajua nini mnapopanga mipango ya nanihu kuna wale ambao hawapendi Ila nao wanakua washiriki na nanihu sasa hao ndio wanaovujisha data kuwatonya upande wa pili kwamba jamani eeh muwe makini huku kuna mpango umeandaliwa
I wish it was easy like this
 
Pale muuaji anapolia kutaka kuuawa
Ndio maana kenye mafia Rules nakumbuka Salvatore Gravano (Sammy Gravano) au Sammy the Bull aliwahi kusema 'We kill Ourselves' akimaanisha mafia huuana wao kwa wao, hawahitaji kuua mtu aliye nje ya circle yao.
 
Sifi?....hahahaha..
Kashasahau..binadamu tunachekesha sana
Hii dunia ina mwenyewe jamani..
 
Sasa Shujaa Magufuli apumzike kwa Amani

Ahsante Sana kwa Zawadi uliyotuachia ya Huyu Bwana mdogo Paul Makonda 😄

Navalonge swela 😂
Unaaminije hakuhusika katika safe process!!?

Muwe mnafikiria!!Mimi nadhani. anamtumia muhusika kujiinua kisiasa lakini sio mwana legacy yake hata!!

Na kama kweli wamedhamiria kumuondoa muhusika hawezi kwepa mitego Yao walioamua kufanya hivyo!!

Huwezi pambana nao ukashinda historian ni mwalimu mzuri sana!!
 
Ukiona hivyo ujue his days are numbered, washamuweka kwenye tight angle kama sio tyre kuchomoka basi ugonjwa utakaomla slowslow until his death.

Watu wakikutaka hata ujifiche wp watakunyakua tuu.

Kama watu walikata kichwa cha nyoka hawashindwi kiwiliwili.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Mbona anaanza kuweweseka? Usikute ndiyo sumu imeshaanza kufanya kazi
 
Tangu kuanzishwa kwa CCM, siasa za kurogana na kuwekeana sumu na kuuana ndiyo jadi yao.

Kwa sisi tuliokuwa na akili miaka ya 1970s tunaelewa sana hayo mambo, hasa kwa waliokuwa pale idarani.

Ipo siku mafile ya siri yatawekwa hadharani kudhihirisha umafia wa wana CCM na serikali zake.

"CCM hatuachiani maji mezani", Jakaya M. Kikwete.

CCM, bila shaka, ni chama cha kishetani ambacho watu wake wengi wanaamini katika nguvu za giza.

Shetani hukupa mafanikio ya muda mfupi ili ujisahau, lakini hawezi kukupa mafanikio ya kudumu.
 
Back
Top Bottom