Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Acha ukabila mara moja🥺...ni Lema bila Shaka ni Mangi kama ilivyo Maghayo Benjamini Netanyahu na wakili Njau fl aliyefungua kesi kupinga Wamasai kuhamishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ukabila mara moja🥺...ni Lema bila Shaka ni Mangi kama ilivyo Maghayo Benjamini Netanyahu na wakili Njau fl aliyefungua kesi kupinga Wamasai kuhamishwa.
Hapo msukuma ni mmoja tu hao wengine hata hatuwajui huku usukumani🤣🤣🤣Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema atakwenda Ngorongoro kuungana na Makonda Lukuvi Kabudi na Afande Awadh katika kuwasikiliza Wamasai na kilio Chao
Lema amesema ukurasani X
My take; Sukuma gang hawajawahi kufeli 😃
Baba ake ni mzanzibar usipindishe mama ndiyo Mrangi, bara hatuna majitu makatili kiasi hicho
Cha kusikitisha mwisho wa siku watatoka.
Video tafadhali.
..Kabudi, Lukuvi, na Makonda, ni wanasiasa wenye kiburi kwelikweli.
..Lakini leo mbele ya Wamaasai wameweka pembeni viburi vyao,na kuwapigia magoti wananchi.
..Nimemsikia Makonda akiomba nyimbo za Kimaasai.
..Kabudi amemtaja neno HAKI mara kadhaa. Mwana-Ccm ni mwiko kutaja neno haki lakini kwa wananchi wamelitaja.
..Kwa kifupi wananchi wa Ngorongoro wameonyesha njia. Wamekataa kunyanyaswa.
View: https://m.youtube.com/watch?v=Xj9xjdD7bcw&pp=ygURa2FidWRpIG5nb3Jvbmdvcm8%3D
Kwa hiyo Uteuzi wa Lukuvi na Kabudi ilikuwa ni Maandalizi ya kwenda kuwaondoa Wamasai .....!!?
Kijana wa karne hii unaandika ujinga kama huu hadharani bila shaka kuna tatizo kubwa sana kwenye maisha yakoKwa hiyo mbowe anavyowaroga wenzie hapo makao makuu huo sio ukatili?
Tendeni haki itawainua vinginevyo mtapoteaWadau hamjamboni nyote?
Hatimaye Mawaziri Vigogo ya Serikali ya Rais Samia ambao ni Profesa Kabudi, William Lukuvi na Kamishna wa mafunzo Jeshi la polisi Awadhi wakutana na Paul Makonda na kufanya kikao kizito na Kamati ya Usalama ya Mkoa Arusha.
Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi (kushoto), Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu William Lukuvi (kulia) pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda wakiwa katika picha ya pamoja walipowasili kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Karatu ambapo wakiwa wilayani humo leo Agosti 23, 2024 watafanya shughuli mbalimbali.
Soma Pia:
Viongozi hao ambao wameongozana na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini Awadhi Juma Haji, tayari wamekutana na Kamati ya Usalama ya mkoa wa Arusha. Viongozi hao wanatarajiwa kwenda Ngorongoro kuzungumza na wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro.
- Wamasai wa Ngorongoro watoa tamko kunyang'anywa haki ya kupiga kura 2024 na 2025
- Mahakama yazuia Vijiji vya Ngorongoro Kufutwa
Kabla ya 2025 wataachana tu 😂😂😂