Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tarehe itapangwa na chamaUchaguzi mnafanya lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarehe itapangwa na chamaUchaguzi mnafanya lini?
Ndiyo maana ni katili haswaAwadhi ni Mzanzibari???
Nauliza tu.
Usiseme Awadh sema IGP mtarajiwaAwadhi ni Mzanzibari???
Nauliza tu.
Yupo bize Sana... Anakuwa kama yeye ndiyo IGP.Ndiyo maana ni katili haswa
Wazanzibar wanaiona bara kama Mkoa wao ndani ya ZanzibarYupo bize Sana... Anakuwa kama yeye ndiyo IGP.
Camilius yupo kimyaaa...🙄🙄
Asije akawa dhamira yake ni kama ya rafiki yako wankyo... Aliyesema apewe u-IGP ili ashughulike na CHADEMA.Mrangi wa Dodoma
Tumekuwa mateka na CCM wanafurahia...😭😭😭Wazanzibar wanaiona bara kama Mkoa wao ndani ya Zanzibar
Sisi ni mateka wa Zanzibar na genge laoTumekuwa mateka na CCM wanafurahia...😭😭😭
Kwa hiyo mbowe anavyowaroga wenzie hapo makao makuu huo sio ukatili?Baba ake ni mzanzibar usipindishe mama ndiyo Mrangi, bara hatuna majitu makatili kiasi hicho
Kamlonga mumeo?Kwa hiyo mbowe anavyowaroga wenzie hapo makao makuu huo sio ukatili?
Muuaji Awadh anafuata nini Ngorongoro?Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema atakwenda Ngorongoro kuungana na Makonda Lukuvi Kabudi na Afande Awadh katika kuwasikiliza Wamasai na kilio Chao
Lema amesema ukurasani X
My take; Sukuma gang hawajawahi kufeli 😃
Amekweenda kuua tena, kuna watu walikamatwa tangu ile Jumapili lazima akaue watatu au wanne roho yake ifurahi.Muuaji Awadh anafuata nini Ngorongoro?
Sasa tunaamini huyu afande Awadh ni icon ya Hangaya. Ana baraka zote za kuua kutoka kwa boss
Ushahidi wa uchawi haupo boss. Ila wa huyo umeusikia!Kwa hiyo mbowe anavyowaroga wenzie hapo makao makuu huo sio ukatili?
Hivi Tanzania hatuna wazalendo wa kutuondolea hizi taabu?Amekweenda kuua tena, kuna watu walikamatwa tangu ile Jumapili lazima akaue watatu au wanne roho yake ifurahi.
🥺...ni Lema bila Shaka ni Mangi kama ilivyo Maghayo Benjamini Netanyahu na wakili Njau fl aliyefungua kesi kupinga Wamasai kuhamishwa.Awadhi ni Mzanzibari???
Nauliza tu.