Makonda, Lukuvi pamoja na Kabudi waelekea ziarani Ngorongoro

Hapo msukuma ni mmoja tu hao wengine hata hatuwajui huku usukumani🤣🤣🤣
 

Kwa hiyo Uteuzi wa Lukuvi na Kabudi ilikuwa ni Maandalizi ya kwenda kuwaondoa Wamasai .....!!?
 
Kwa hiyo Uteuzi wa Lukuvi na Kabudi ilikuwa ni Maandalizi ya kwenda kuwaondoa Wamasai .....!!?

..kwenda kuwapigia magoti Wamaasai.

..Serikali wameshikwa pabaya. Utalii wa Tanzania unategemea sana Serengeti na Ngorongoro.

..Wamaasai walikuwa hawajui thamani yao.

..aliyewa-organize waandamane ktk msimu wa Watalii ana akili sana.

..Serikali isingeweza kutumia nguvu.
 
Serikali inayoongozwa na Mama Samia ni sikivu Sana Na inaishi maneno yake Kwa vitendo.

Ni suala zuri kusikiliza mahitaji ya wanyonge na sio kutuma nguvu. Hivi ndivyo anavyotaka Rai's watu mpendwa. Asante Kwa taarifa mkuu
 
Kwa hiyo mbowe anavyowaroga wenzie hapo makao makuu huo sio ukatili?
Kijana wa karne hii unaandika ujinga kama huu hadharani bila shaka kuna tatizo kubwa sana kwenye maisha yako
 
Tendeni haki itawainua vinginevyo mtapotea
 
Hatua ya 1: Tengeneza tatizo.

Hatua ya 2: Jitenge na hilo tatizo.

Hatua ya 3: Jifanye unaguswa na tatizo ulilolitengeneza.

Hatua ya 4: Tatua hilo tatizo katika namna inayofanikisha malengo yako.

Hatua ya 4: Hakikisha unapongezwa kwa juhudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…