Makonda, Lukuvi pamoja na Kabudi waelekea ziarani Ngorongoro

Hatua ya 1: Tengeneza tatizo.

Hatua ya 2: Jitenge na hilo tatizo.

Hatua ya 3: Jifanye unaguswa na tatizo ulilolitengeneza.

Hatua ya 4: Tatua hilo tatizo katika namna inayofanikisha malengo yako.

Hatua ya 4: Hakikisha unapongezwa kwa juhudi.
 
serikali ya ccm imeufyata kwa misimamo mikali ya wandugu zetu wamasai na asasi mbalimbali wameonyesha hata tanzania kuna GAN-Z
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…