Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.
Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?
Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.
Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.
Makonda oyeeeeeeeeeee
Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.
Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?
Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.
Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.
Makonda oyeeeeeeeeeee
inauma bana! mtu anamka tandale kwa tumbo saa 11 anakabwa anachaniwa nguo, bado anakomaa anafka job kumsaidia mtanzania mwenzake wa hal ya chn! akiomba nyongeza walau atoke akapange hata kinondon imekuwa shda! huyu chocochannel dawa yake mungu anaichemsha! akiipua ataisoma nambaMkuu taratibu
Hivi jamani huyu cocochanel katoka wap? Mbona ataniua kwa hasira?So Hizo kazi ambazo hawafanyi huwa unafanya ww na bashite[emoji57][emoji57]
anaongelea meimos wakati alikimbia! hahahahahahaha mbavu zangu mieHivi ndio nani huyo? Ni Waziri Mkuu au Wa kazi na Ajira? au ndio Waziri wa Utumishi wa Umma?