Ze General
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 1,508
- 1,253
Naona ni Tbc pekee imeweka microphone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kuna mic ngapi???Si mlisema kuwa hamtaandika habari zake Paul Makonda?? Sasa imekuwaje hadi mnaanza kumtafuta kijana wa watu? Au zilikuwa hasira tu. Makonda noma, mtake msitake, mtamuandika tu!
Mkuu,hiyo ni roboti na sio mtu huyo.
Nakushauri wacha kuchangia habari zinazo mhusu Bashite
Hapo kuna mic ngapi???
Si ya tbccm pekee !
Tulishakubaliana kumsusia sasa ya nini tena mnaanza kumtafutia pa kutokea?Kwanini??
hivi kwa nini sometimes huwa unaniangusha hivo mam?Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.
Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?
Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.
Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.
Makonda oyeeeeeeeeeee
Serikali kwa sasa ina hela nyingi sana maana Rais mwenyewe anasema kuwa hela ipo.nadhani hata magufuli amemshangaa! madai ya nyongeza ya mishahara ni muhimu sema tu serikali haina hela.
Tulishakubaliana kumsusia sasa ya nini tena mnaanza kumtafutia pa kutokea?
Yaani mambo mengine hadi aibu....Wendawazimu ndivyo walivyo! Hakuna sheria yoyote ile nchini ambayo inawazuia wafanyakazi kudai nyongeza ya mishahara. Huyu jamaa ni mpuuzi sana.
Kweli mkuu.Bila kupepesa Macho wala kutikisa Masikio, Watumishi mjiandae kupigwa deshi kwa mara nyingine katika mwaka mpya wa fedha.
Hapo ametumwa afikishe ujumbe.
Yaani mambo mengine hadi aibu....
Inasikitisha sana...Kabisa BT inasikitisha na kushangaza sana kusikia kauli za kipumbavu kama hizi.
![]()