Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye akili zao washajua hivyo kitambo!Bila kupepesa Macho wala kutikisa Masikio, Watumishi mjiandae kupigwa deshi kwa mara nyingine katika mwaka mpya wa fedha.
Hapo ametumwa afikishe ujumbe.
Bila kupepesa Macho wala kutikisa Masikio, Watumishi mjiandae kupigwa deshi kwa mara nyingine katika mwaka mpya wa fedha.
Hapo ametumwa afikishe ujumbe.
Kwani JF ndiyo waliondika au ni mwanachama tu wa JF kama wewe?Na JF nayo ni TBC??
Namna anavyoongea hupati shida kung'amua kwamba kwenye ile sehemu ndani kichwa inayohifadhi ubongo, ya kwake imejaa wadudu.Wendawazimu ndivyo walivyo! Hakuna sheria yoyote ile nchini ambayo inawazuia wafanyakazi kudai nyongeza ya mishahara. Huyu jamaa ni mpuuzi sana.
Hivi Makonda ameshaomba msamaha? Maana naona mmeanza kuandika habari zake wakati mliamua kutomwandika kabisaAmetoa habari jinsi Makonda anavyoongea upupu.
Kumbe mna mahaba sana na habari za Makonda? makamanda bana😀😀😀😀Namna anavyoongea hupati shida kung'amua kwamba kwenye ile sehemu ndani kichwa inayohifadhi ubongo, ya kwake imejaa wadudu.
Wendawazimu ndivyo walivyo! Hakuna sheria yoyote ile nchini ambayo inawazuia wafanyakazi kudai nyongeza ya mishahara. Huyu jamaa ni mpuuzi sana.
Unabisha?Huyu ndie leo anasema angechapa watu viboko!!
cheo cha kisiasa hata aliyesoma MEMKWA anaweza kuteuliwa ndio maana anaweza kuropoka chochote.Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.
Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?
Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.
Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.
Makonda oyeeeeeeeeeee
Namna anavyoongea hupati shida kung'amua kwamba kwenye ile sehemu ndani kichwa inayohifadhi ubongo, ya kwake imejaa wadudu.
Namshukuru Mola hakunipa akili za ugoro kama hizi!
Hivi Makonda ameshaomba msamaha? Maana naona mmeanza kuandika habari zake wakati mliamua kutomwandika kabisa