Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

Acha ku_generalize wafanyakazi sio wafanyakazi wote wenyewe tabia hizo unazodai. HAKUNA WA KUMZUIA MFANYAKAZI ASIDAI MASLAHI YAKE SIO WEWE AU MWINGINE YEYOTE.
SOLIDARITY......FOREVER!!!!!!!!!!
 
only 10% ya wafanyakazi wa serikalini ni creativer, hardworker, commited na wanajali, wengi wahuni , wavivu na zero kabisa
 
Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.

Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?

Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.

Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.

Makonda oyeeeeeeeeeee

Critical Thinkers ndo wako hivi siku hizi.
 
Ahahahaaaaaa Mtumishi = Mtumwa ................. mwendo mdundo wanaostahili kula vinono ni wao tu kwa sababu ndio wanafanya kazi
 
Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.

Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?

Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.

Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.

Makonda oyeeeeeeeeeee
Na kwanini wewe kila Bashite akitoa mfano unaufanya "mdogo"?
 
Hivi sheria za Tanzania zinaruhusu Kiongozi kumchapa viboko mtumishi wa umma eeeeh?




Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.

Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?

Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.

Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.

Makonda oyeeeeeeeeeee
 
ajaribu kupiga hivyo viboko aone ,hii ni ishara ya kuchanganyikiwa
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yuko na MiC moja tu ya TBC
19d86672aff152aaa43843fe66d1b750.jpg
 
Hivi yule mwanahabari wa Tabora takukuru wameshampata!?
 
Huyu angekuwa na digiriii originoo Dar pasingekalika
 
Back
Top Bottom