Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

Afadhali mtoa mada ameanza kuleta habari za Makonda baada ya wale wengine kugoma....leta habari zote za huyo bwana...kuna watu wengi wanapenda kusikiliza habari zake....we leta iwe usiku mchana...jua mvua....we leta tu. Na viboko wachapwe tu maana watu wengi wanaazima akili kwa wengine...viboko vihusike tu. Siku ya sherehe nyie mnagoma....haiwezekani!!
Hata hujui ulichoandika!
 
Atajuaje uchungu WA kudai nyongeza ya mishahara wakati hajawai kuajiriwa,ukuu WA mkoa sio Ajira rasmi ni uteuzi tu.
So sishangai makonda kuyasema haya,mtu hata ajawai kuitwa kwenye interview yoyote ya Ajira, hata hapo alipo hayupo kwenye list yoyote ya vyama vya wafanya kazi Labda group la whatsaap la wakuu wa Mikoa atajuaje machungu ya msharaha kiduchu.
Wengi wanao tetea huu upuuzi wanashinda kwenye ofisi za Chama,kuwalamba lamba miguu wanasiasa.
 
Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dsm wanapitia kipindi kigumu sana.

Bashite hajui May Mosi ni siku ya kuzungumzia Masuala ya Wafanyakazi sio Wateja wa Wafanyakazi
Aisee kuna watu jana nilikuwa nao Kwenye interview mitaa fulani ya jijini....tulikuwa nane... Wawili walikuwa ni waajiliwa wa serikali(H/mashauri X)... Ktk ongea yetu mmoja anadai aliajiriwa 2010.... Lakini ofisini hakuna majukumu yaani yakiwepo basi watu walewale ndio wanafanya....yaani km pesa za mradi zimekuja basi huitana Daico na watu wake ili wazipangie majukumu....wakati wengine mkiendelea kusoma magazeti, kucheza Zuma, whasap na kubadili vijiwe vya chakula kila mda...na kupiga umbea basi. Yaani wengi walikuja pale ili waache kazi huko...wakidai hawajikuzi kitaaluma badala yake wanakuwa km wanaongezewa uzembe.....na hii IPO maofisini huko serikalini....ofisi nyingi wamejazana hakuna wanalolifanya yaani...Makonda alipoongea watu walitoa sana macho...lakini ndio ukweli hebu tujitambue tuwe wabunifu hata km tumeajiriwa serikalini
 
Huyu si ana ijua Biblia mwambie akasome proverb 14: 31. If you oppress poor people you insult God who made them but kindess shown to poor is an act of worship. Hivi hawa viongozi wetu wanajua majority ya wanao wa ongoza ni maskini? Wajichunguze wasije kuingia matatani na Muumba wao.

Na washawasha!
 
inauma bana! mtu anamka tandale kwa tumbo saa 11 anakabwa anachaniwa nguo, bado anakomaa anafka job kumsaidia mtanzania mwenzake wa hal ya chn! akiomba nyongeza walau atoke akapange hata kinondon imekuwa shda! huyu chocochannel dawa yake mungu anaichemsha! akiipua ataisoma namba
Huo unaoongea ni upupu
 
Mmeanza tena kuleta habari zake huyu jamaa na tulikua tumetulia
 
Wacheni habari za huyo mtu tulisha amua kuwachana naye kama hamna habari za kupost ni bora kukaa kimya
 
nadhani hata magufuli amemshangaa! madai ya nyongeza ya mishahara ni muhimu sema tu serikali haina hela.
 
Back
Top Bottom