Miss Mbulu
Member
- May 18, 2017
- 5
- 0
Hapa kazi tuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu hao watu wanaweza kumzaa the facial expression ya wazee humo ndani says at all kijana amekosa adabu.Assh**e
Huyu jamaa zero yake inatusumbua. Ati ningewachapa viboko, wtf.
hata kama mtu humpendi lakini akitoa harufu ya ushuzi utamwambia kuwa kajamba.Si mlisema kuwa hamtaandika habari zake Paul Makonda?? Sasa imekuwaje hadi mnaanza kumtafuta kijana wa watu? Au zilikuwa hasira tu. Makonda noma, mtake msitake, mtamuandika tu!
wanadai mishahara huku hawfanyi kazi?hii nchi siku wafanya kazi wasipo fanya kazi masaa mawili tu hapatakalika.usipende kuchangia mada ambazo huzielewi.kama hawafanyi kazi hata huo mshahara wanalipwa wa nn si wasilipwe kabisa.Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.
Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?
Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.
Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.
Makonda.
Nina uhakika wewe ndiye DAB mwenyeweBora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.
Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?
Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.
Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.
Makonda oyeeeeeeeeeee
asavari LIZbaada ya ridhiwani sasa ni zamu ya bashite kutesa
Ungekuwa hauna akili ulizoandika hapo ungejuaje kwamba zipo!!! Eeeeeeeh
Kiroja na kuni quote umefanya hivyo bila kulazimishwa fan wangu wewe.
Mtanyooka tu
Ndiyo alikua kwenye kikao chake cha mwisho ktk mkoa WA Dar. Tunategemea kesho jioni au Jpili Ndiyo itatolewa hoda ya uhamisho.hivi hajahamishiwa MOSHI?
Achana nae huyo. Form 4 failure
Cheti cha f4 kwanza ndipo nitoe maoni.