Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Sasa atakwenda mbinguni lini kugombea urais? R. I. PWewe mwache amchurie tu,Mungu hadhihakiwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa atakwenda mbinguni lini kugombea urais? R. I. PWewe mwache amchurie tu,Mungu hadhihakiwi
Umeambiwa mbinguni wamemchukulia fomu, mnampeleka lini?Rais Samia anaongoza Taifa akiwa na kibali cha Mwenyezi Mungu mkononi mwake. Ndio maana unaona Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu.kila agusapo Rais Samia panabarikiwa na kupata mafanikio.
😀Umeambiwa mbinguni wamemchukulia fomu, mnampeleka lini?
Sakaratul mautNahisi nae siku za kuishi duniani zimefikia ukingozi!
Hizi lugha hutolewa na watua ambao "milango ya kuzimu mimefunguka"!
Anaenda kugombea uraisi mbinguni....Kipenga cha 2025 kishapulizwa na kauli za wanasiasa zishaanza, Makonda akiwa Hai kasema mbinguni walishamchukulia fomu Rais Samia na hata mbunge wa zamani wa Hai(Mbowe) anajua Rais Samia ametumwa na Mungu.
Anamtabiria kifoKipenga cha 2025 kishapulizwa na kauli za wanasiasa zishaanza, Makonda akiwa Hai kasema mbinguni walishamchukulia fomu Rais Samia na hata mbunge wa zamani wa Hai(Mbowe) anajua Rais Samia ametumwa na Mungu.
Huyu Makonda huyu lolote likimtokea Rais wetu itabidi anyooshe maelezo hawa sukuma gang tunajua hawampendi Rais wetu wapo kinafiki tu. Hii lugha siyo ya kupuuza anatuandaa kisaikolojiaAnaenda kugombea uraisi mbinguni....
😀 😀 😀
Samia ni mpango wa Mungu kwakuwa ww na Joyce wowowo msema hivyo?Nilishasema na kuandika sana humu kuwa Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe na kwamba Mungu ndiye aliyemuinua Rais Samia kwa mkono wake Mwenyewe.na kwamba kamwe na katu hawezi kushushwa na mkono wa mwanadamu kwa kuwa mkono uliomuinua Dr Samia Ni mkubwa na wenye nguvu kuliko mkono wa mwanadamu yeyote yule hapa chini ya jua.
Utulivu ama uoga na uzombie? Watu wakose umeme huduma wanaolipia muda wote huu na bado wakae kimya huo ni utulivu au ujuha.Rais Samia anaongoza Taifa akiwa na kibali cha Mwenyezi Mungu mkononi mwake. Ndio maana unaona Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu.kila agusapo Rais Samia panabarikiwa na kupata mafanikio.
Tutajie huyo malaika aliyeenda ofisi za CCM mbinguni kumchukulia Samia fomu ya urais! Huwa hamjifunzi tu kutokumkufuru Mungu kwa mambo yenu mkamsabisha Mungu akamuondoa yule jamaa duniani?Nilishasema na kuandika sana humu kuwa Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe na kwamba Mungu ndiye aliyemuinua Rais Samia kwa mkono wake Mwenyewe.na kwamba kamwe na katu hawezi kushushwa na mkono wa mwanadamu kwa kuwa mkono uliomuinua Dr Samia Ni mkubwa na wenye nguvu kuliko mkono wa mwanadamu yeyote yule hapa chini ya jua.
Acha maneno ya kitoto. Jibu ni moja na la uhakika kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hasssan ni mpango wa Mungu Mwenyewe. Kuinuliwa kwake kuwa Rais wa Tanzania ni kwa mipango ya Mungu tokea katika uumbaji wake katika ulimwengu wa kiroho.Samia ni mpango wa Mungu kwakuwa ww na Joyce wowowo msema hivyo?
Possibly- wenye akili wanapokaa kimya wapumbavu wanajiinua na ndio hawa sasa wanaikufuru mbingu hadharani kwa tamaa ya madarakaHuyu nae sijui anafikiri huko mbinguni Magufuli ndiyo Mungu!
Have you ever been in spiritual world before to authenticate that? Je kama jiwe lisingepasuka au Mungu alipasua jiwe ili mpango wake utimie ?Acha maneno ya kitoto. Jibu ni moja na la uhakika kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hasssan ni mpango wa Mungu Mwenyewe .kuinuliwa kwake kuwa Rais wa Tanzania ni kwa mipango ya Mungu tokea katika uumbaji wake katika ulimwengu wa kiroho.
Au John Memose Cheyo! Hizi zote ni counter attack za kuzima agenda ya demonstration! Iko wazi kwamba mikutano ya ccm ni gharama kubwa sana kwa chamaHizi chama cha upinzani huwa ni CHADEMA pekee? maana huwezi kumsikia akimsema Zitto
Mungu hana mahusiano na majizi ya kura. Mwambie huyo muhalifu Joyce wowowo asimtaje Mungu kwenye siasa zenu za kipuuzi.Acha maneno ya kitoto. Jibu ni moja na la uhakika kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hasssan ni mpango wa Mungu Mwenyewe .kuinuliwa kwake kuwa Rais wa Tanzania ni kwa mipango ya Mungu tokea katika uumbaji wake katika ulimwengu wa kiroho.