Pre GE2025 Makonda: Mbinguni walimchukulia fomu Rais Samia. Adai Mbowe anajua kama Samia ametumwa na Mungu

Pre GE2025 Makonda: Mbinguni walimchukulia fomu Rais Samia. Adai Mbowe anajua kama Samia ametumwa na Mungu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nahisi nae siku za kuishi duniani zimefikia ukingozi!
Hizi lugha hutolewa na watu ambao "milango ya kuzimu mimefunguka"!
 
Nilishasema na kuandika sana humu kuwa Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe na kwamba Mungu ndiye aliyemuinua Rais Samia kwa mkono wake Mwenyewe.na kwamba kamwe na katu hawezi kushushwa na mkono wa mwanadamu kwa kuwa mkono uliomuinua Dr Samia Ni mkubwa na wenye nguvu kuliko mkono wa mwanadamu yeyote yule hapa chini ya jua.
Samia ni mpango wa Mungu kwakuwa ww na Joyce wowowo msema hivyo?
 
Naona wameanza kumchokoza mungu Kama walivyomchokoza kipindi Cha Magufuli the bull katili!!, Awamu hii mungu atawapindua na makapeni yenu mmkute Bibi ushungi amegalala barabarani... Nyambafuu bheng'we.
 
Rais Samia anaongoza Taifa akiwa na kibali cha Mwenyezi Mungu mkononi mwake. Ndio maana unaona Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu.kila agusapo Rais Samia panabarikiwa na kupata mafanikio.
Utulivu ama uoga na uzombie? Watu wakose umeme huduma wanaolipia muda wote huu na bado wakae kimya huo ni utulivu au ujuha.
 
Nilishasema na kuandika sana humu kuwa Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe na kwamba Mungu ndiye aliyemuinua Rais Samia kwa mkono wake Mwenyewe.na kwamba kamwe na katu hawezi kushushwa na mkono wa mwanadamu kwa kuwa mkono uliomuinua Dr Samia Ni mkubwa na wenye nguvu kuliko mkono wa mwanadamu yeyote yule hapa chini ya jua.
Tutajie huyo malaika aliyeenda ofisi za CCM mbinguni kumchukulia Samia fomu ya urais! Huwa hamjifunzi tu kutokumkufuru Mungu kwa mambo yenu mkamsabisha Mungu akamuondoa yule jamaa duniani?
 
Samia ni mpango wa Mungu kwakuwa ww na Joyce wowowo msema hivyo?
Acha maneno ya kitoto. Jibu ni moja na la uhakika kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hasssan ni mpango wa Mungu Mwenyewe. Kuinuliwa kwake kuwa Rais wa Tanzania ni kwa mipango ya Mungu tokea katika uumbaji wake katika ulimwengu wa kiroho.
 
Acha maneno ya kitoto. Jibu ni moja na la uhakika kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hasssan ni mpango wa Mungu Mwenyewe .kuinuliwa kwake kuwa Rais wa Tanzania ni kwa mipango ya Mungu tokea katika uumbaji wake katika ulimwengu wa kiroho.
Have you ever been in spiritual world before to authenticate that? Je kama jiwe lisingepasuka au Mungu alipasua jiwe ili mpango wake utimie ?
 
Acha maneno ya kitoto. Jibu ni moja na la uhakika kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hasssan ni mpango wa Mungu Mwenyewe .kuinuliwa kwake kuwa Rais wa Tanzania ni kwa mipango ya Mungu tokea katika uumbaji wake katika ulimwengu wa kiroho.
Mungu hana mahusiano na majizi ya kura. Mwambie huyo muhalifu Joyce wowowo asimtaje Mungu kwenye siasa zenu za kipuuzi.
 
Mungu yupi aliyemtuma?. Nchi mpaka wakimbizi wanapata uongozi si upuuzi huo. Taifa limepata kiongozi bomu kuliko awamu zote tangu tanganyika iubwe
 
Back
Top Bottom