Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Pesa za umma ndiyo zinatumikaAu John Memose Cheyo! Hizi zote ni counter attack za kuzima agenda ya demonstration! Iko wazi kwamba mikutano ya ccm ni gharama kubwa sana kwa chama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa za umma ndiyo zinatumikaAu John Memose Cheyo! Hizi zote ni counter attack za kuzima agenda ya demonstration! Iko wazi kwamba mikutano ya ccm ni gharama kubwa sana kwa chama
Huko mbinguni wewe ulishuhudia hiyo fomu ikiwa ina chukuliwa ?! Kama siyo uchawa ni nini sasa. ?!Kipenga cha 2025 kishapulizwa na kauli za wanasiasa zishaanza, Makonda akiwa Hai kasema mbinguni walishamchukulia fomu Rais Samia na hata mbunge wa zamani wa Hai(Mbowe) anajua Rais Samia ametumwa na Mungu.
Kauli hii iwe wake up call kwa wanaotumia akili chamani.Kipenga cha 2025 kishapulizwa na kauli za wanasiasa zishaanza, Makonda akiwa Hai kasema mbinguni walishamchukulia fomu Rais Samia na hata mbunge wa zamani wa Hai(Mbowe) anajua Rais Samia ametumwa na Mungu.
Leo hujaweka no kaka Luca. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilishasema na kuandika sana humu kuwa Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe na kwamba Mungu ndiye aliyemuinua Rais Samia kwa mkono wake Mwenyewe.na kwamba kamwe na katu hawezi kushushwa na mkono wa mwanadamu kwa kuwa mkono uliomuinua Dr Samia Ni mkubwa na wenye nguvu kuliko mkono wa mwanadamu yeyote yule hapa chini ya jua.
Wewe punguani na huyo muuaji wako, mnachokitafuta, mtajibiwa.Nilishasema na kuandika sana humu kuwa Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe na kwamba Mungu ndiye aliyemuinua Rais Samia kwa mkono wake Mwenyewe.na kwamba kamwe na katu hawezi kushushwa na mkono wa mwanadamu kwa kuwa mkono uliomuinua Dr Samia Ni mkubwa na wenye nguvu kuliko mkono wa mwanadamu yeyote yule hapa chini ya jua.
Hata biblia inasema mamlaka yoyote hapa duniani yanatoka kwa Mungu.Kwamba tuiheshimu mamlaka kwa sababu Mungu ndio kaiweka.Kipenga cha 2025 kishapulizwa na kauli za wanasiasa zishaanza, Makonda akiwa Hai kasema mbinguni walishamchukulia fomu Rais Samia na hata mbunge wa zamani wa Hai(Mbowe) anajua Rais Samia ametumwa na Mungu.
Huyu nae sijui anafikiri huko mbinguni Magufuli ndiyo Mungu!
Na anayenenewa maneno haya kakaa kimya? Muislamu Safi unaambiwa fomu yako ya kugombea imechukuliwa mbinguni na wewe unashangilia?
Kipenga cha 2025 kishapulizwa na kauli za wanasiasa zishaanza, Makonda akiwa Hai kasema mbinguni walishamchukulia fomu Rais Samia na hata mbunge wa zamani wa Hai(Mbowe) anajua Rais Samia ametumwa na Mungu.
Kwa taifa liliasisiwa na aina ya kina JKN (RIP) ni najisi kuongozwa na zuzu yeyote yule. Kama 'zuzu' limependeka mkanywe nalo chai, kusanyeni kwenye uzuzu, uzwazwa wenu kama kikundi na mbakie humo. Sio 🚨Kipenga cha 2025 kishapulizwa na kauli za wanasiasa zishaanza, Makonda akiwa Hai kasema mbinguni walishamchukulia fomu Rais Samia na hata mbunge wa zamani wa Hai(Mbowe) anajua Rais Samia ametumwa na Mungu.
Kufuru hizi ndio zilimuondoa JiweKipenga cha 2025 kishapulizwa na kauli za wanasiasa zishaanza, Makonda akiwa Hai kasema mbinguni walishamchukulia fomu Rais Samia na hata mbunge wa zamani wa Hai(Mbowe) anajua Rais Samia ametumwa na Mungu.