Makonda, Mpina ni chambo tu, sukuma gang inakuja taratibu

Makonda, Mpina ni chambo tu, sukuma gang inakuja taratibu

Hiyo Sukuma Gang maana yake ni watanzania wanaozidi 27 million kutoka mikoa ya Mwanza, Simiyu, Mara, Shinyanga, Geita, Kagera, Kigoma, Katavi, Rukwa, Tabora, Songwe, Singida, Mbeya, Morogoro, Dodoma, Pwani, Dar, Lindi.

Unapoanza kulibagua kundi hili kubwa ujue kichwani umejaza ubwabwa na hustahili kuwa sehemu ya jamii ya watu wastaarabu
 
Hiyo Sukuma Gang maana yake ni watanzania wanaozidi 27 million kutoka mikoa ya Mwanza, Simiyu, Mara, Shinyanga, Geita, Kagera, Kigoma, Katavi, Rukwa, Tabora, Songwe, Singida, Mbeya, Morogoro, Dodoma, Pwani, Dar, Lindi.

Unapoanza kulibagua kundi hili kubwa ujue kichwani umejaza ubwabwa na hustahili kuwa sehemu ya jamii ya watu wastaarabu
Sukuma Gang siyo kabila la wasukuma. Sukuma Gang ni wafuasi wa hayati DIKTETA Magufuli ambao ndiyo walikuwa wananeemeka na utawala wa Mwendazake, ndiyo walioshika hatamu za maaamuzi katika sekta nyeti. Watu hao ni kama Bashiru, Makonda, Polepole, Kabudi, Luaga Mpina, Chamuriho, Kalemani, Dotto James etc

Wasukuma ni watu wema sana hawajawahi kupiga kura za kikabila na wala hawana ukabila.
 
Sukuma Gang siyo kabila la wasukuma. Sukuma Gang ni wafuasi wa hayati DIKTETA Magufuli ambao ndiyo walikuwa wananeemeka na utawala wa Mwendazake, ndiyo walioshika hatamu za maaamuzi katika sekta nyeti. Watu hao ni kama Bashiru, Makonda, Polepole, Kabudi, Luaga Mpina, Chamuriho, Kalemani, Dotto James etc

Wasukuma ni watu wema sana hawajawahi kupiga kura za kikabila na wala hawana ukabila.
Sukuma Gang ni kabila la Wasukuma hayo mengine ni mbwembwe tu.
 
Hiyo Sukuma Gang maana yake ni watanzania wanaozidi 27 million kutoka mikoa ya Mwanza, Simiyu, Mara, Shinyanga, Geita, Kagera, Kigoma, Katavi, Rukwa, Tabora, Songwe, Singida, Mbeya, Morogoro, Dodoma, Pwani, Dar, Lindi.

Unapoanza kulibagua kundi hili kubwa ujue kichwani umejaza ubwabwa na hustahili kuwa sehemu ya jamii ya watu wastaarabu
Acha kuwaza upumbuvu hao Watanzania 30+million tuliobaki tuna mshikamano musitake kutuvuruga nchi yetu sote hii.
 
Acha kuwaza upumbuvu hao Watanzania 30+million tuliobaki tuna mshikamano musitake kutuvuruga nchi yetu sote hii.
Upumbavu ni kama huu wa kwako. Hiyo kampeni yenu chafu mda si mrefu itaanza kutugharimu hata tusiokuwa na hatia. Hata Rwanda na Burundi walianza hivi hivi kabla ya genocide
 
TAIFA ZIMA TUTAPAMBANA NA SUKUMA GANG, nadhani ni wakati sasa wasipewe ata nafasi ya serikali za mitaa, vyama vya siasa vipeleke wagombea wageni huko kwenye ngome yao, warudi kwenye kazi zao za asili.
 
Naona umetumwa kuja kuchonganisha..tambueni kanda ya ziwa ndio wenye kura ya turufu..mtakuja mnalialia tu kuwaomba wawaunge mkono..kuweni makini sana na hizi siasa ya utengano mnazozianzisha.

Endelea kupumzika kwa amani JPM rais uliyekua na maono makubwa kwa nchi hii.

#MaendeleoHayanaChama
Kwa taarifa yako mfumo wa kishetani aliouasisi magu kura za kwenye box hazina thamani tena mpango mzima uko hivi
IMG-20200726-WA0000.jpg
 
Please Please Mods futeni huu uzi....

Please🙏
Wauache ili waendelee kujiaibisha. Rais alitoa agizo tozo ya mafuta ipunguzwe. Waziri akapunguza tozo ya mafuta kwa sh. 100. Baadae Watanzania tulimsikia Rais kupitia vyombo vya habari akiagiza tozo irudishwe kwakuwa tayari pesa yake ilikuwa kwenye bajeti. Yaani mtoa post anataka kusema Rais "alijichanganya" mwenyewe. Hapa Mpina ana kosa gani?

NB: Sukuma Gang tupo tume hibernate!
 
Hapana, wala nchi hii haiungi mkono ukabila ndio maana tunawapinga SG
Hakuna cha sukuma gang wala mkwere gang, sisi wananchi tunachojua nyie wote ni CCM. Utofauti wenu mkwere gang mnapiga mno mpaka watu wanashtuka wakati sukuma gang wanapiga kwa target na akili nyingi. Nyie ni kama wachungaji mnaogombania waumini kwa ajili ya sadaka na tumechoka maugomvi yenu, kaeni myamalize, mnazinguana huko mnatuletea kelele.
 
Sukuma Gang siyo kabila la wasukuma. Sukuma Gang ni wafuasi wa hayati DIKTETA Magufuli ambao ndiyo walikuwa wananeemeka na utawala wa Mwendazake, ndiyo walioshika hatamu za maaamuzi katika sekta nyeti. Watu hao ni kama Bashiru, Makonda, Polepole, Kabudi, Luaga Mpina, Chamuriho, Kalemani, Dotto James etc

Wasukuma ni watu wema sana hawajawahi kupiga kura za kikabila na wala hawana ukabila.
Badilisha jina ndiyo tukuuelewe, vinginevyo sukuma Gang ni wasukuma na muendelee na propaganda zenu chafu za kibaguzi.Mtavuna mnachokitafuta
 
mleta mada ni mkabila. Uzi wa kipuuzi Sana huu.kwa sayansi hii mtu bado anaongelea sijui ukanda /kabila pumbavu!!
 
Sukuma Gang siyo kabila la wasukuma. Sukuma Gang ni wafuasi wa hayati DIKTETA Magufuli ambao ndiyo walikuwa wananeemeka na utawala wa Mwendazake, ndiyo walioshika hatamu za maaamuzi katika sekta nyeti. Watu hao ni kama Bashiru, Makonda, Polepole, Kabudi, Luaga Mpina, Chamuriho, Kalemani, Dotto James etc

Wasukuma ni watu wema sana hawajawahi kupiga kura za kikabila na wala hawana ukabila.
Kwa nini lisiitwe "Genge la Makinikia, Mkiru, Push-ups, Burigi ama hata Busisi" kuliko kuliambatanisha na neno "Sukuma"
 
Naona umetumwa kuja kuchonganisha..tambueni kanda ya ziwa ndio wenye kura ya turufu..mtakuja mnalialia tu kuwaomba wawaunge mkono..kuweni makini sana na hizi siasa ya utengano mnazozianzisha.

Endelea kupumzika kwa amani JPM rais uliyekua na maono makubwa kwa nchi hii.

#MaendeleoHayanaChama
Unajua maana ya kura ya turufu wewe?
Kura ya turufu kwenye nn wanayo hai wa kanda ya ziwa?
Magufuli hakuwa na maono yoyote kwenye nchi hii. Yule alikuwa dictator uchwara
Unapambana na rushwa kisha unavibana vyombo vya habari na NGOs hao c ndiyo mbwa wako wa kubweka?
Unasistiza watu wafiate sheria kisha wewe hizifuati? Unaenda kununua ndege bila kufuata hata sheria zetu za manunuzi?
Shetani ye JPM
 
Back
Top Bottom