Nakazia. Naomba urudie kuandika maneno yako kwa herufi kubw, awamu ya tano ilikuwa ni ya kishetani.Unajua maana ya kura ya turufu wewe?
Kura ya turufu kwenye nn wanayo hai wa kanda ya ziwa?
Magufuli hakuwa na maono yoyote kwenye nchi hii. Yule alikuwa dictator uchwara
Unapambana na rushwa kisha unavibana vyombo vya habari na NGOs hao c ndiyo mbwa wako wa kubweka?
Unasistiza watu wafiate sheria kisha wewe hizifuati? Unaenda kununua ndege bila kufuata hata sheria zetu za manunuzi?
Shetani ye JPM