Makonda, Mpina ni chambo tu, sukuma gang inakuja taratibu

Makonda, Mpina ni chambo tu, sukuma gang inakuja taratibu

Naona unatangaza amani huku umeficha mapanga..nani asiyejua nguvu ya kanda ya ziwa katika chaguzi za nchi hii..yawezekana wewe ni mtoto wa juzi huwezi elewa.

All in all acheni hizo siasa maji taka za utengeno zitawaghalimu sana...absurd.

#MaendeleoHayanaChama
Nape na Kinana hawahitaji kura kushinda uchaguzi.

Mama mwenyewe wakati wa kampeni aliwahi kusema wanakamilisha ratiba tu kupiga kampeni, lakini wana uhakika wa kushinda by any means.
 
Nape na Kinana hawahitaji kura kushinda uchaguzi.

Mama mwenyewe wakati wa kampeni aliwahi kusema wanakamilisha ratiba tu kupiga kampeni, lakini wana uhakika wa kushinda by any means.
Hao wehu walishasema wana mbinu 1000 za kuiba kura na kubaki madarakani halafu unawatishia vitisho hewa kweli?
 
P R O P A G A N D A

Yule ni Last king of Scotland na sio Idd amin wa Uganda....
 
Weeeee
IMG_20220324_180319.jpg
 
yani hapa ilitakiwa wana jf wote tunakubaliana kuwa mada za hovyo hovyo kama hizi watu wasichangie kabisa ili mtoa mada abaki na limada lake...
yani mtu anatunga mambo utadhani anahadithia watoto hadithi,imejaa hisia zake binafsi,nayo inakuwa mada ya kujadili...mtoa mada ukue
 
Naona umetumwa kuja kuchonganisha..tambueni kanda ya ziwa ndio wenye kura ya turufu..mtakuja mnalialia tu kuwaomba wawaunge mkono..kuweni makini sana na hizi siasa ya utengano mnazozianzisha.

Endelea kupumzika kwa amani JPM rais uliyekua na maono makubwa kwa nchi hii.

#MaendeleoHayanaChama
mtekaji, Muuaji,
 
Naona unatangaza amani huku umeficha mapanga..nani asiyejua nguvu ya kanda ya ziwa katika chaguzi za nchi hii..yawezekana wewe ni mtoto wa juzi huwezi elewa.

All in all acheni hizo siasa maji taka za utengeno zitawaghalimu sana...absurd.

#MaendeleoHayanaChamaMwal

Wewe jamaa bana. Sijui hata unaishije na familia yako.

Ila sawa tu, utakuja kufa na kipusa. Unavyochonganisha utazani Samia anatawala milele.
Ukweli mchungu ni kwamba kila mmoja atakufa, na pengine wewe unaweza kutangulia, tuombe mwisho mwema
 
Kama mpaka link za Ikulu na barua zake ni hisia zangu basi kuna mahali hauko sawasawa
 
Kama mpaka link za Ikulu na barua zake ni hisia zangu basi kuna mahali hauko sawasawa
 
Hili suala la "sukuma gang" naona linakuwa entertained sana. Sahivi hata ukihoji kwanini miradi ya Kimkakati haikamiliki kw awakati unaambiwa wewe ni sukuma gang, na pia ukiachana na chuki kwa watu wa Kanda ya Ziwa mtoa Uzi ebu angalia hoja za Mpina je, ni dhaifu au sio dhaifu, ni logic ama la? Vijana tusipende ushabiki ebu tusimame na Taifa tuachane na hizo mambo. Tuwachukie wanaorudisha Taifa nyuma na sio watu wa kabila fulani au ukanda fulani that is stupidity.
Twende tujadili hoja
1. Alisema Rais kadanganywa, barua hapo zinaonyesha Rais ndiye alielekeza wizara ichukue hatua (Je hoja yake ni dhaifu au sio dhaifu)
 
Back
Top Bottom