Makonda, Mpina ni chambo tu, sukuma gang inakuja taratibu

Nape na Kinana hawahitaji kura kushinda uchaguzi.

Mama mwenyewe wakati wa kampeni aliwahi kusema wanakamilisha ratiba tu kupiga kampeni, lakini wana uhakika wa kushinda by any means.
 
Nape na Kinana hawahitaji kura kushinda uchaguzi.

Mama mwenyewe wakati wa kampeni aliwahi kusema wanakamilisha ratiba tu kupiga kampeni, lakini wana uhakika wa kushinda by any means.
Hao wehu walishasema wana mbinu 1000 za kuiba kura na kubaki madarakani halafu unawatishia vitisho hewa kweli?
 
P R O P A G A N D A

Yule ni Last king of Scotland na sio Idd amin wa Uganda....
 
yani hapa ilitakiwa wana jf wote tunakubaliana kuwa mada za hovyo hovyo kama hizi watu wasichangie kabisa ili mtoa mada abaki na limada lake...
yani mtu anatunga mambo utadhani anahadithia watoto hadithi,imejaa hisia zake binafsi,nayo inakuwa mada ya kujadili...mtoa mada ukue
 
mtekaji, Muuaji,
 

Wewe jamaa bana. Sijui hata unaishije na familia yako.

Ila sawa tu, utakuja kufa na kipusa. Unavyochonganisha utazani Samia anatawala milele.
Ukweli mchungu ni kwamba kila mmoja atakufa, na pengine wewe unaweza kutangulia, tuombe mwisho mwema
 
Kama mpaka link za Ikulu na barua zake ni hisia zangu basi kuna mahali hauko sawasawa
 
Kama mpaka link za Ikulu na barua zake ni hisia zangu basi kuna mahali hauko sawasawa
 
Twende tujadili hoja
1. Alisema Rais kadanganywa, barua hapo zinaonyesha Rais ndiye alielekeza wizara ichukue hatua (Je hoja yake ni dhaifu au sio dhaifu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…