Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Nimeelewa kwakuwa nimekomaa kusoma,uandishi wa namna hii unamkatisha tamaa msomaji na huenda akaishia njianiLakini umeelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeelewa kwakuwa nimekomaa kusoma,uandishi wa namna hii unamkatisha tamaa msomaji na huenda akaishia njianiLakini umeelewa
Mbona kama Una support hoja ya Makonda? Unazidi kusagia kunguni muhimili wetu wa mahakama.
Ila Makonda anaongea ambacho majority ya wa Tanzania wangependa kukisikia, no wonder huku mtaani huwaambii kitu
Mtaa gani, watanzania wakubadilishwa upepo dakika mbili wameambiwa jana, leo wamesahau,makonda anataja matatizo ambayo yapo ndani ,na hajaleta ufumbuziMbona kama Una support hoja ya Makonda? Unazidi kusagia kunguni muhimili wetu wa mahakama.
Ila Makonda anaongea ambacho majority ya wa Tanzania wangependa kukisikia, no wonder huku mtaani huwaambii kitu kuhusu Makonda.
Ujawah kuelewa, na utaelewa, mwalimu wako alikuwa na kazi sanaUnaona ni sawa hilo kwa akili zako za kawaida? 👆🏻
Hahaha, nashukuru mkuu basi litakuwa sawa iloNimeelewa kwakuwa nimekomaa kusoma,uandishi wa namna hii unamkatisha tamaa msomaji na huenda akaishia njiani
Umedhihirisha udebe tupu wa akili yako. Umeandika contradictory ideas.Ujawah kuelewa, na utaelewa, mwalimu wako alikuwa na kazi sana
Haiwezi kukuzidi wewe, wewe chawa wa makonda,Umedhihirisha udebe tupu wa akili yako. Umeandika contradictory ideas.
Lazima uwe na staha, uwe na kiasiSasa kosa la makonda ni lipi wakati kasema ukweli?
Ni kawaida yenu mtu akisema ukweli panapstahili ukweli mnasema katukanaLazima uwe na staha, uwe na kiasi
Huyo makonda anaropoka bila mipaka
Mwisho atakuja kumtukana hadi Samia mwenyewe!
Acha kumdanganya huyo Zerobrain !! Kwanza hana akili za kutawala pili huyu Bashite ni mfungwa mtarajiwa tu. Upende usipende, baada ya Samia kutoka madarakani Makonda atapandishwa mahakamani kwa makosa yenye ushahidi ambao haufutikiPumbafu kabisa. Nyie ndio wale fisadi mnaona kina makonda na sabaya wana makosa kwa kuwazuia kufisidi jamii. Kesi ya sabaya haikutosha bali mnaendelea kumwuita sabaya muuaji kwa kuwazuia kula vya kunyonga. Mnaendelea kujidai mahakama imekosea kumuona Sabaya hana makosa na kumwachia huru. Wala hamjuti kwa kumtesa maana mlichanga hela kuhonga ili afungwe kwa kesi ya uongo. Wanaharamu nyie kwa mioyo yenu mibaya. Mtapata laana ya mungu.
Lakini leo tutalumbana,lakini huwa tunasema au wahenga walisema lenye mwanzo alikosi mwisho, haya ni matokeo ambayo au mbegu zilipandwa na CCM,kwa kushindwa kufuata katiba, sheria za nchi na kushindwa kuheshimu mihimili muhimu, pia ata vyombo vya Dora.Kama mahakama zilimfutia mashtaka akiwa na makosa zilitenda haki?? Ameongea ukweli mtupu!
Kwani ni uongo ni rushwa tupuMakonda ulinusurika kufanywa kama Sabaya, wazee wa korido au viambaza walikulinda kwa maelekezo ya Hangaya.
Wajuzi wa mambo wakaenda mbali zaidi wakasema Hangaya alikupenda japo ulitoka familia ya jiwe,wengine wakasema Makonda hujawahi mchafua Hangaya akiwa makamu wa ofisi za Magigoni.
Binafsi nikaunga mkono hoja, nikafuatilia mashtaka ya Sabaya nikajua kabisa Sabaya hakuwa na radhi za Chief.
Lakini leo P.Makonda kautukana muhimili wa mahakama waziwazi, kuwa hautendi haki,pia kaenda mbali zaidi kawaambia wafanya biashara wadogo wanaenda mahakamani kufanya nini wakati mahakama hazitendi haki.
P.Makonda amesahau huo muhimili wa mahakama ambao hautendi haki ndiyo muhimili ambao ulimlinda yeye kwa maovu ambayo aliyafanya.
P.Makonda anataka kuwaambia watanzania kuwa mahakama ilitenda haki kutupilia mbali mashtaka yake?
P.Makonda kama kiongozi wa juu wa chama au kiongozi muandamizi ndani ya chama anawaambia kuwa watanzania mahakama zetu hazitendi haki.
Leo viambaza vya mahakama zote wanasema leo makonda katutusi,Makonda kaongea ukweli.
Jaji mkuu Feleshi yupo katika tafakuri na kasema P.Makonda huyu huyu au mwingine?
Hivyo basi P.Makonda aombe akae ndani ya mfumo mpaka Chief atoke madarakani ,au raisi ajae awe kariba yake la sivyo atasota butimba kwao au Segerea.
Matokeo ya P.Makonda kuzungumza au kuitukana mahakama ajiandae kujibu kesi zote ambazo zilipanguliwa na mahakama hii ambayo amesema haitendi haki.
Mahakama hii itamuonesha namna gani, inatenda haki.
P.Makonda umetukana watesi, tena watesi wengi njia ya gerezani ni nyeupe kwako, na umeiomba mwenyewe P.Makonda huu uzi utaweka kumbukumbu.
Chama chetu CCM hatuna utamaduni wa kuvumilia wakosoaji ndani ya chama Makonda siasa haina rafiki wa kudumu wa adui wa kufumu.
Ni mimi MWENYE MATULANYA MPUTA
MBUNGE JIMBO LA LULINDI 2025
Email: maggierozaria@gmail.com
What a fool!Makonda ulinusurika kufanywa kama Sabaya, wazee wa korido au viambaza walikulinda kwa maelekezo ya Hangaya.
Wajuzi wa mambo wakaenda mbali zaidi wakasema Hangaya alikupenda japo ulitoka familia ya jiwe,wengine wakasema Makonda hujawahi mchafua Hangaya akiwa makamu wa ofisi za Magigoni.
Binafsi nikaunga mkono hoja, nikafuatilia mashtaka ya Sabaya nikajua kabisa Sabaya hakuwa na radhi za Chief.
Lakini leo P.Makonda kautukana muhimili wa mahakama waziwazi, kuwa hautendi haki,pia kaenda mbali zaidi kawaambia wafanya biashara wadogo wanaenda mahakamani kufanya nini wakati mahakama hazitendi haki.
P.Makonda amesahau huo muhimili wa mahakama ambao hautendi haki ndiyo muhimili ambao ulimlinda yeye kwa maovu ambayo aliyafanya.
P.Makonda anataka kuwaambia watanzania kuwa mahakama ilitenda haki kutupilia mbali mashtaka yake?
P.Makonda kama kiongozi wa juu wa chama au kiongozi muandamizi ndani ya chama anawaambia kuwa watanzania mahakama zetu hazitendi haki.
Leo viambaza vya mahakama zote wanasema leo makonda katutusi,Makonda kaongea ukweli.
Jaji mkuu Feleshi yupo katika tafakuri na kasema P.Makonda huyu huyu au mwingine?
Hivyo basi P.Makonda aombe akae ndani ya mfumo mpaka Chief atoke madarakani ,au raisi ajae awe kariba yake la sivyo atasota butimba kwao au Segerea.
Matokeo ya P.Makonda kuzungumza au kuitukana mahakama ajiandae kujibu kesi zote ambazo zilipanguliwa na mahakama hii ambayo amesema haitendi haki.
Mahakama hii itamuonesha namna gani, inatenda haki.
P.Makonda umetukana watesi, tena watesi wengi njia ya gerezani ni nyeupe kwako, na umeiomba mwenyewe P.Makonda huu uzi utaweka kumbukumbu.
Chama chetu CCM hatuna utamaduni wa kuvumilia wakosoaji ndani ya chama Makonda siasa haina rafiki wa kudumu wa adui wa kufumu.
Ni mimi MWENYE MATULANYA MPUTA
MBUNGE JIMBO LA LULINDI 2025
Email: maggierozaria@gmail.com
wenyewe kwa wenyewe sasa....kyee kyee kyee kyeee....Makonda ulinusurika kufanywa kama Sabaya, wazee wa korido au viambaza walikulinda kwa maelekezo ya Hangaya.
Wajuzi wa mambo wakaenda mbali zaidi wakasema Hangaya alikupenda japo ulitoka familia ya jiwe,wengine wakasema Makonda hujawahi mchafua Hangaya akiwa makamu wa ofisi za Magigoni.
Binafsi nikaunga mkono hoja, nikafuatilia mashtaka ya Sabaya nikajua kabisa Sabaya hakuwa na radhi za Chief.
Lakini leo P.Makonda kautukana muhimili wa mahakama waziwazi, kuwa hautendi haki,pia kaenda mbali zaidi kawaambia wafanya biashara wadogo wanaenda mahakamani kufanya nini wakati mahakama hazitendi haki.
P.Makonda amesahau huo muhimili wa mahakama ambao hautendi haki ndiyo muhimili ambao ulimlinda yeye kwa maovu ambayo aliyafanya.
P.Makonda anataka kuwaambia watanzania kuwa mahakama ilitenda haki kutupilia mbali mashtaka yake?
P.Makonda kama kiongozi wa juu wa chama au kiongozi muandamizi ndani ya chama anawaambia kuwa watanzania mahakama zetu hazitendi haki.
Leo viambaza vya mahakama zote wanasema leo makonda katutusi,Makonda kaongea ukweli.
Jaji mkuu Feleshi yupo katika tafakuri na kasema P.Makonda huyu huyu au mwingine?
Hivyo basi P.Makonda aombe akae ndani ya mfumo mpaka Chief atoke madarakani ,au raisi ajae awe kariba yake la sivyo atasota butimba kwao au Segerea.
Matokeo ya P.Makonda kuzungumza au kuitukana mahakama ajiandae kujibu kesi zote ambazo zilipanguliwa na mahakama hii ambayo amesema haitendi haki.
Mahakama hii itamuonesha namna gani, inatenda haki.
P.Makonda umetukana watesi, tena watesi wengi njia ya gerezani ni nyeupe kwako, na umeiomba mwenyewe P.Makonda huu uzi utaweka kumbukumbu.
Chama chetu CCM hatuna utamaduni wa kuvumilia wakosoaji ndani ya chama Makonda siasa haina rafiki wa kudumu wa adui wa kufumu.
Ni mimi MWENYE MATULANYA MPUTA
MBUNGE JIMBO LA LULINDI 2025
Email: maggierozaria@gmail.com
Sawa sawaHaaangaya aka amiri Muhimili uliojichimbia sana
Kama kuna wakumpinga anyooshe kidole
Makonda yuko salama sana