Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?


Mpaka Chalamila wa Mbeya
 
Kwanza kabisa anatakiwa abadili uongozi wote, kuanzia mawaziri, na watendaji wote, aachane na walamba viatu, mapof njaa. Aondoe ule ubaguzi wa kanda. Mama naamini anajua hayo
 
Miradi ya kule kwetu hasa Chato msahau kabisaaaaa.
Kumbuka huyu mama kwao hakufanya mambo ya kijinga kama walivyofanya Chato na huko kwa PM
 
Umenikumbusha watu wasiojulikana, sijuii wataendelea kuwepo ama ndiyo wameshatengenezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…