Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi hiki alitakiwa MTU mwenye busara kama za Kikwete. Hawa kina Mwigulu watauana mchana kweupeee.Yani hawa mbwa maccm wataparurana kweli kweli
Mi nashauri Mh. Samia amtafute makamu wake ambaye ni mchumi mmbobezi ambaye amtamsaidia kuurudisha uchumi kwenye mstari, lakini mtu mwenye ufahamu wa diplomasia vizuri itamsaidia pia kuurudisha mahusiano na nchi marafiki na mwisho mtu walau mwenye uzoefu wa shughuli za serikali.
Possible candidates include former CAG, former Katibu mkuu kiiongozi Sefue,
Proffesor Mkenda, Mizengo Linda.
Mheshimiwa aepuke kutea makada ambao wanaweka chama mbele na sio taifa
😎😎Nimeishia hapo uliposema kifo Cha magufuli Ni pigo kwa Afrika.Pumbavuuu
Yule wahuni watamuoaKuna Yule mpuuzi sebaya
Sijaguswa na lolote mieMagufuli kafaa.
!??!?
Neverrr
Ni suala la muda tuNawaonea huruma hawa wafuatao
1. Covid-19
2. CCM wakuja- eg Polepole, Bashiru, Kabudi, Kitila, Ndalichako, Silinde, Waitara, etc
Maana wanaccm wenye chama chao hawatarudia kosa. Ngoja azikwe Magu kwanza.
Duuuh[emoji848][emoji848]Alianzisha genge la wasiojulikana kuteka kutesa kupiga na kuua,Sasa likamgeuka,likamteka kwa siku kumi na sita.
Kabisa mkuuKifo cha huyu mzee kitumike kama funzo jamani,tusamehane na tushikamane huu sio muda wa kulipizana visasi
Haaahaa[emoji16][emoji16][emoji1787]Tena huyo Musiba nikikutana naye safari hii namtia mitama mirefu kama ule Adam Mchovu aliompiga Mbasha ze zwazwa.
Kabisa hili jinga kabisaNimeishia hapo uliposema kifo Cha magufuli Ni pigo kwa Afrika.Pumbavuuu