Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Hakuna cha mchumi mbobezi. Atafutwe mtu mzalendo hata kama ni mwalimu wa sekondari. Haya mambo ya kutuletea watu wenye kiburi tu kwa vile ni wasomi hatutaki. Wapo wasomi wengi nchi hii hawana uchungu na nchi zaidi ya kutaka waabudiwe kwa usomi wao.
Mi nashauri Mh. Samia amtafute makamu wake ambaye ni mchumi mmbobezi ambaye amtamsaidia kuurudisha uchumi kwenye mstari, lakini mtu mwenye ufahamu wa diplomasia vizuri itamsaidia pia kuurudisha mahusiano na nchi marafiki na mwisho mtu walau mwenye uzoefu wa shughuli za serikali.

Possible candidates include former CAG, former Katibu mkuu kiiongozi Sefue,

Proffesor Mkenda, Mizengo Linda.

Mheshimiwa aepuke kutea makada ambao wanaweka chama mbele na sio taifa
 
Hao wote utaishia kuwamezea mate tu. Wako kwenye mfumo tayari.
 
Nawaonea huruma hawa wafuatao
1. Covid-19
2. CCM wakuja- eg Polepole, Bashiru, Kabudi, Kitila, Ndalichako, Silinde, Waitara, etc

Maana wanaccm wenye chama chao hawatarudia kosa. Ngoja azikwe Magu kwanza.
Ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom