Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Mda sasa wa TRA kuondoa import tax kwa vitu toka Zanzibar kuja bara au toka bara kwenda Zanzibar, muda muafaka huuDuuh kwel kutesa kwa zam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mda sasa wa TRA kuondoa import tax kwa vitu toka Zanzibar kuja bara au toka bara kwenda Zanzibar, muda muafaka huuDuuh kwel kutesa kwa zam
Mizengo??? Nooooo...Mi nashauri Mh. Samia amtafute makamu wake ambaye ni mchumi mmbobezi ambaye amtamsaidia kuurudisha uchumi kwenye mstari, lakini mtu mwenye ufahamu wa diplomasia vizuri itamsaidia pia kuurudisha mahusiano na nchi marafiki na mwisho mtu walau mwenye uzoefu wa shughuli za serikali...
Covid 19 watakosa bara na Pwani [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nawaonea huruma hawa wafuatao
1. Covid-19
2. CCM wakuja- eg Polepole, Bashiru, Kabudi, Kitila, Ndalichako, Silinde, Waitara, etc
Maana wanaccm wenye chama chao hawatarudia kosa. Ngoja azikwe Magu kwanza.
Kwa Tanzania ni neema sana. Washenzi tu hao. Kwanza Account zake zipigwe stop turudishe 1.5T yetu.Nimeishia hapo uliposema kifo Cha magufuli Ni pigo kwa Afrika.Pumbavuuu
1. GamboWanyang'anywe paspoti zao
Misingi yote ya ukweli na uwazi aliiuaMagufuli hakiwahi kuwa mkweli bali ni muongo na mnafiki.
Muondoe Nape na Gambo kwenye hiyo list.1. Gambo
2. Mnyeti
3. Sabaya....
Who ever supported in one way or other is/ must be in the list.Muondoe Nape na Gambo kwenye hiyo list.
Ni kweli kabisa kwa mantiki hiyo hilo linajidhihirisha, Marehemu aagwe kwa mazuri na mabaya yake piaMisingi yote ya ukweli na uwazi aliiua
1. Kujitoa open gorvernment partnership
2. Kujitoa mahakaama ya haki za binadam za Afrika...
[emoji1787]Kwa tanzania ni neema sana. Washenzi tu hao. Kwanza Account zake zipigwe stop turudishe 1.5T yetu.
Duh Mambo haya Kuna Mzee Mmoja Nae amekua akinyanyasa sana Watumishi anasema Mambo kibao kwamba yuko karibu na Mkuu. Nae sijui atafanyaje ametesa sana wananzengo pale Ofisi ya Mtumba.Lile gari ulilo mdhulumu yule Mwarabu Makonda rudisha
Sabaya zile pesa ulizo pora siku unavamia hoteli tunazitaka
Ajabu kabisa. Yani unataka kusema Makonda ndio alikua nyuma ya cc ya CCM ilomfanya Samia kuwa mgombea mwenza na hatimae makamu wa Rais???Daud alimpigia debe mama samia kuwa makamo wa rais, hivyo ana nafasi nyeti kabisa
Kaa kwa kutulia..huu mchezo hauhitaji hasiraAjab kabisa.Yan unataka kusema makonda ndio alikua nyuma ya cc ya ccm ilomfanya samia kuwa mgombea mwenza na hatimae makam wa rais???
Hiz bange zinawasaidia nini?
Hiyo ni zilipendwa...Kwa taarifa fupi tuu soon Makonda atalamba teuzi
Utaniambia,na nitarudi hapa kukumbusha.
...Samia anampenda sana,kwenye bunge la katiba aliwahi kusema yeye ndiye aliyempendekeza awe VP wa kwanza mwanamke Tz.
Mwisho katufute clip ya Makonda akimpendekeza Samia Bungeni.
Kuna watu niliwaambia hawaaminiKwa taarifa fupi tuu soon Makonda atalamba teuzi
Utaniambia,na nitarudi hapa kukumbusha.
...Samia anampenda sana,kwenye bunge la katiba aliwahi kusema yeye ndiye aliyempendekeza awe VP wa kwanza mwanamke Tz.
Mwisho katufute clip ya Makonda akimpendekeza Samia Bungeni.
Weka akiba ya maneno mkuu, mama Samia anamkubali Makonda sana na atamrudisha kwenye mfumoMakonda alikuwa na kiburi, alijiona yeye ni zaidi ya makamu wa Rais