Anonymous
Senior Member
- Apr 6, 2006
- 118
- 339
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM anatarajiwa kufanya ziara mikoa ya Kanda ya Ziwa lakini tetesi za mambo yanayoelezwa kuendelea ili kumpokea yanatia aibu, kutia hasira na kufedhehesha sana.
Inadaiwa Mkuu wa Wilaya ya Chato ameziamuru Taasisi zote za Kiserikali Wilayani mwake kutoa shilingi 500,000/- kila mmoja kwaajili ya maandalizi ya kumpokea Makonda.
Kama hiyo haitoshi Taaasisi hizo zinadiwa kupewa maelekezo ya kwenda katika mpaka wa Chato na Bukoba ili kumpokea Mwenezi huyo
Ujinga huu unafanywa kuhujumu mali za umma maana Makonda hausiki kabisa na mali za umma bali za chama chake, kuchukua fedha kwenye taasisi za Umma na kisha kutumia gharama zisizo za msingi kupeleka magari eti kumpokea ni UJINGA uliopiliza
Hawa watu wanatakiwa kujua Watanzania sio wajinga na bado nchi ina shida lukuki za kimaendeleo
Inadaiwa Mkuu wa Wilaya ya Chato ameziamuru Taasisi zote za Kiserikali Wilayani mwake kutoa shilingi 500,000/- kila mmoja kwaajili ya maandalizi ya kumpokea Makonda.
Kama hiyo haitoshi Taaasisi hizo zinadiwa kupewa maelekezo ya kwenda katika mpaka wa Chato na Bukoba ili kumpokea Mwenezi huyo
Ujinga huu unafanywa kuhujumu mali za umma maana Makonda hausiki kabisa na mali za umma bali za chama chake, kuchukua fedha kwenye taasisi za Umma na kisha kutumia gharama zisizo za msingi kupeleka magari eti kumpokea ni UJINGA uliopiliza
Hawa watu wanatakiwa kujua Watanzania sio wajinga na bado nchi ina shida lukuki za kimaendeleo