Mwigulu sasa anasagiwa sumu... ngoja tuone mzee wa kuhamia Burundi kama atagombaniwa kama corner za yanga na akina Manyere.Katika mahojiano yaliyofanyika mkoani Arusha ambapo Mkuu wa Mkoa huo Mheshimiwa Paul Makonda alisema alimuambia kama utani Tundu Lissu asimshambulie Mwigulu Nchemba kwa sababu ni Waziri anayetoka kwao (Singida) na Lissu alifuata hayo maelekezo yake kwa maana hakuna hata siku moja amewahi kumshambulia Mh. Mwigulu Nchemba.
Hili bwabwa limeamua kuwa comedian siku hizi na watu na akili zao wanaliamini.Katika mahojiano yaliyofanyika mkoani Arusha ambapo Mkuu wa Mkoa huo Mheshimiwa Paul Makonda alisema alimuambia kama utani Tundu Lissu asimshambulie Mwigulu Nchemba kwa sababu ni Waziri anayetoka kwao (Singida) na Lissu alifuata hayo maelekezo yake kwa maana hakuna hata siku moja amewahi kumshambulia Mh. Mwigulu Nchemba.
Kimei anapiga jaramba πMakonda anataka kumng'oa Mwigulu, alitaka Lisu amshambulie Mwigulu kwa kosa lipi?