Sasa wanaitana wenyewe kwa wenyewe.Viroboto Chawa na sasa Vyura wanapatikana CCM pekee 😂😂🐼
Ndo wameshafanya hivyo sasa.US haina moral authority ya kukemea masuala ya uvunjaji haki za binadamu!!!
Hhaa chura wa ufipa wabugia Sembe watakurukia sanaMwenezi wa CCM Komredi Makonda amewaomba Viongozi wa Dini wazidi kumuombea ili mosi, amuheshimishe Mungu wa Mbinguni na pili, atimize majukumu ambayo Rais Samia anaamini atamsaidia.
"Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi," amesema Komredi Makonda.
Jambo TV
Imani ya Chama hairudishwi kwa kuanza kudharau wenzako kuwaita churaMakonda anarudisha imani ya chama kwa wananchi kwa mtindo wa kusikiliza kero za wananch. ' BIG UP MAKONDA'
Kelele za Chura haimaanishi wanaopiga ni Vyura 😂😂Imani ya Chama hairudishwi kwa kuanza kudharau wenzako kuwaita chura
Si ndo ufurahi Sasa ili akileta mpasuko Chadema ichukue nchi 😀😀😀Hao vyura wanaopiga kelele ndiyo akina nani!! Huyu dogo ataleta mgawanyiko mkubwa sana kwenye hicho kikundi cha upigaji kinachoitwa ccm.
Matusi makubwa sana kwa wana CCM, yaani katika CCM yote wakiwepo wabunge,mawaziri,Wakuu wa mikoa na Wilaya na kada zote wameshindwa kumsaidia Rais ila Paul Makonda pekee ndiye mwenye uwezo huo. Kwani yeye na Rais wana siri gani hiyo ??????Mwenezi wa CCM Komredi Makonda amewaomba Viongozi wa Dini wazidi kumuombea ili mosi, amuheshimishe Mungu wa Mbinguni na pili, atimize majukumu ambayo Rais Samia anaamini atamsaidia.
"Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi," amesema Komredi Makonda.
Jambo TV
Maana kazi ya shetani ni kuiba,kuua na kuharibuShetani anahimiza aombewe ili atende kazi yake ya uharibifu kwa ustadi mkubwa.
Samia ana malengo hasi na utulivu wa kisiasa na kiusalama
Wenzake wakimuita nyamitako anaruka kimangaSasa yeye anaita wenzake chura,. Akiitwa yeye atasema anatukanwa. Bashite hovyo kabisa.
Hao vyura ni akina JK,Kinana na Nape Nnauye (Msoga Gang)Mmmmggh Watanzania wenzako unawaita vyura?
Kwa hiyo viongozi wengine na wajumbe wa kamati kuu anawaita VYURA?Mwenezi wa CCM Komredi Makonda amewaomba Viongozi wa Dini wazidi kumuombea ili mosi, amuheshimishe Mungu wa Mbinguni na pili, atimize majukumu ambayo Rais Samia anaamini atamsaidia.
"Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi," amesema Komredi Makonda.
Jambo TV
Keshaanza kufunguka... Na bado hajasema ... Atasema tuMwenezi wa CCM Komredi Makonda amewaomba Viongozi wa Dini wazidi kumuombea ili mosi, amuheshimishe Mungu wa Mbinguni na pili, atimize majukumu ambayo Rais Samia anaamini atamsaidia.
"Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi," amesema Komredi Makonda.
Jambo TV