Makonda: Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi. Viongozi wa Dini mniombee!

Wanachama wenzie anawaita Chura Ni chura huyu was snura au
 

Hao chura ni waNEC wastaafu na GSM
 
Wangekuwa wanataka mtu wa kuongea haya wangekuchagua wewe.
Anachoongea ndicho walichomtuma.
 
Kumbe anatoa maelekezo kutoka Kwa Mwenyekiti 🀣🀣
 
Kazi ya kumwaribia kwa wananchi, utaifanya vizuri sana.
Hakuna shaka juu ya hilo.
Hakuna ch kumwaribia anachofanya ndicho watu wa kawaida wanataka ,haiwezekani viongozi wamepewa dhamana harafu wanaishi kumdhulumu Wananchi Sasa atawafichuo wote.

Leo amesema anaenda Ardhi walikomdhulumu yule bibi akawaalnyooshe
 
Kwenye Kamati Kuu jina lililopendekezwa lilikia na Charamila lakini Mh Rais akaja na jina ambalo hakuna alietegemea ni Makonda, na wengi walipinga mpaka Mh Rais alipotaka watu wapigwe kura za wazi ndipo Makonda akaibuka kidedea kwa Kuta Moja zaidi
 
Kwenye Kamati Kuu jina lililopendekezwa lilikia na Charamila lakini Mh Rais akaja na jina ambalo hakuna alietegemea ni Makonda, na wengi walipinga mpaka Mh Rais alipotaka watu wapigwe kura za wazi ndipo Makonda akaibuka kidedea kwa Kuta Moja zaidi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Navalonge swela
 
Wangekuwa wanataka mtu wa kuongea haya wangekuchagua wewe.
Anachoongea ndicho walichomtuma
Hadi mwenyekiti ameingia na jina la mteule mfukoni Sisi majina yetu yataishia Kwa wajumbe wa shina tu, uenda hajatumwa kuongea hayo na viongozi wake inakuwa kama penzi jipya anajiachia tu Kwa kupata kuaminika. Tusubili upepo wa siku za usoni kuthibitisha kama ni yeye au ametumwa.
 
Huyu banamdogo asipojitafakari fresh hizo kauli zake na kupunguza mihemko kufika uchaguzi mkuu hicho chama kitakuwa kimepasuka pasuka vipande vipande.
 
Lakin msemo wa kiswahili huu.miaka na miaka dahari. Wahebga walisema kelele za chura hazimzuii mwenye nyumba kulala.
Je leo mtu akitumia msemo wa wahenga unautafsir vipi? Misemo ipo na itakukuwepo. Jaribu kuwa unasikiliza kwa umakin na kuchambua mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…