Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
CHADEMA ni manyumbu kwelikweli .kama umeshindwa kuelewa hotuba hiyo ni ngumu sana kukutofautisha na nyumbu.Wewe msukule kweli. Sasa suala la wewe kushindwa kutafsiri hotuba ya kiongozi wako CHADEMA inaingiaje? Au CHADEMA ndiyo iliyokuroga na kukutoa ufahamu?
Achana na hilo nyumbu la CHADEMA linaloendelea kushupaza shingo yake kwa jambo ambalo liko wazi kabisa. Hapo kuna sentensi tatu ,halafu huyu nyumbu anaubganisha kuwa sentensi moja kwa ujinga wake na nia yake ovu.Jaribuni tutafsiri vizuri hiyo kauli kuuumiza mungu wake,dactari samia ,kuwaumiza wananchi kuna mambo matatu hapo
Makonda fanya kazi iliyokupeleka huko, acha domo domo.Sote tunafahamu na tunatambua kuwa uchawa (chawaism) upo katika nchi hii na katika ngazi tofauti za uongozi, lakini kitendo cha mtu kuonyesha uchawa uliopitiliza ni zaidi ya uzwazwa. Nilipomsikia Profesa Kabudi akisema kuwa Magufuli ni Mungu wake nilidhani ni masikhara. Kumbe Rais akikuteua kushika wadhaifa fulani, tayari anachukua nafasi ya Mungu wako?
Wakati RC Makonda akiongea kuhusu rushwa huko Arusha, amesema Dr Samia ni Mungu wake, hivyo hayuko tayari kumuumiza. Mambo yasiwe mengi, hebu msikilize wewe mwenyewe kwenye video hapo chini usije ukasema nimemuwekea maneno kinywani mwake.
View attachment 2976801
MAONI YANGU
Hata mtu uwe na njaa au uwe ni mwenye kujikomba kiasi gani, tafadhali sana usimfananishe mwanadamu na Mwenyezi Mungu, Bwana wa majeshi, Muumba wa mbingu na nchi. Hii ni kufuru iliyovuka mipaka. Ifike wakati tutumie akili zetu vizuri tuache kufananisha vitu visivyofanana kwa sababu tu ya kutetea matumbo yetu.
Nawasilisha.
Pia soma
. RC Makonda: Rais Samia ameipendelea Arusha, amemtoa mwanae wa pekee na kumleta Arusha
Hakuna muuaji anayelindwa na Mungu.Acha uzushi wewe na acha kuandika kwa kukurupuka. Hapo Mheshimiwa Makonda amesema kuwa hayupo tayari kumuumiza Mungu, pia hayupo tayari kumkatisha Tamaa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Msipende kukurupuka na kuleta uchongaishi na uzushi usio na maana.acheni chuki binafsi pamoja na roho mbaya. Mtashindana na Mwamba lakini hamtamuweza maana ameinuliwa na Mungu na analindwa na mkono wa Mungu ambaye uso wake huambatana na Mheshimiwa Makonda popote awapo.
Makonda hajawahi kumiliki akilimungu = Mungu
makonda = Makonda
Basi unapaswa kujilaumu mwenyewe kwa kuwa akili zenu zinafanana. Akili zako na za Makonda hazitofautiani. Hivi huko shuleni mlienda kusomea ujinga? CC FaizaFoxy
Vipi umepata cherehani?Acha uzushi wewe na acha kuandika kwa kukurupuka. Hapo Mheshimiwa Makonda amesema kuwa hayupo tayari kumuumiza Mungu, pia hayupo tayari kumkatisha Tamaa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Msipende kukurupuka na kuleta uchongaishi na uzushi usio na maana.acheni chuki binafsi pamoja na roho mbaya. Mtashindana na Mwamba lakini hamtamuweza maana ameinuliwa na Mungu na analindwa na mkono wa Mungu ambaye uso wake huambatana na Mheshimiwa Makonda popote awapo.
Umeongea point mno,hiyo ni laana na wanatafuta ghadhabu ya Mungu.Sote tunafahamu na tunatambua kuwa uchawa (chawaism) upo katika nchi hii na katika ngazi tofauti za uongozi, lakini kitendo cha mtu kuonyesha uchawa uliopitiliza ni zaidi ya uzwazwa. Nilipomsikia Profesa Kabudi akisema kuwa Magufuli ni Mungu wake nilidhani ni masikhara. Kumbe Rais akikuteua kushika wadhaifa fulani, tayari anachukua nafasi ya Mungu wako?
Wakati RC Makonda akiongea kuhusu rushwa huko Arusha, amesema Dr Samia ni Mungu wake, hivyo hayuko tayari kumuumiza. Mambo yasiwe mengi, hebu msikilize wewe mwenyewe kwenye video hapo chini usije ukasema nimemuwekea maneno kinywani mwake.
View attachment 2976801
MAONI YANGU
Hata mtu uwe na njaa au uwe ni mwenye kujikomba kiasi gani, tafadhali sana usimfananishe mwanadamu na Mwenyezi Mungu, Bwana wa majeshi, Muumba wa mbingu na nchi. Hii ni kufuru iliyovuka mipaka. Ifike wakati tutumie akili zetu vizuri tuache kufananisha vitu visivyofanana kwa sababu tu ya kutetea matumbo yetu.
Nawasilisha.
Pia soma
. RC Makonda: Rais Samia ameipendelea Arusha, amemtoa mwanae wa pekee na kumleta Arusha
Hili Bashite halina akili kichwani, linachojuwa ni kutoa kauli ili liendelee ku trend kwenye mitandao ya jamii.Sote tunafahamu na tunatambua kuwa uchawa (chawaism) upo katika nchi hii na katika ngazi tofauti za uongozi, lakini kitendo cha mtu kuonyesha uchawa uliopitiliza ni zaidi ya uzwazwa. Nilipomsikia Profesa Kabudi akisema kuwa Magufuli ni Mungu wake nilidhani ni masikhara. Kumbe Rais akikuteua kushika wadhaifa fulani, tayari anachukua nafasi ya Mungu wako?
Wakati RC Makonda akiongea kuhusu rushwa huko Arusha, amesema Dr Samia ni Mungu wake, hivyo hayuko tayari kumuumiza. Mambo yasiwe mengi, hebu msikilize wewe mwenyewe kwenye video hapo chini usije ukasema nimemuwekea maneno kinywani mwake.
View attachment 2976801
MAONI YANGU
Hata mtu uwe na njaa au uwe ni mwenye kujikomba kiasi gani, tafadhali sana usimfananishe mwanadamu na Mwenyezi Mungu, Bwana wa majeshi, Muumba wa mbingu na nchi. Hii ni kufuru iliyovuka mipaka. Ifike wakati tutumie akili zetu vizuri tuache kufananisha vitu visivyofanana kwa sababu tu ya kutetea matumbo yetu.
Nawasilisha.
Pia soma
. RC Makonda: Rais Samia ameipendelea Arusha, amemtoa mwanae wa pekee na kumleta Arusha
Mungu anaingiaje kwenye suala la rushwa? Huko shule ulienda kusoma nini?Atashughulika na yeyote mla rushwa. Hayuko tayari:
1. Kumuumiza Mungu wake;
2. Kumkatisha tamaa Rais Samia;
3. Kuwaumiza wananchi wa Arusha;
...kwa kutotenda haki.
Acha kumlisha maneno RC Makonda. π
-Kaveli-
Wewe jamaa unatuletea uongo wa kudanganya chekechea, Ina maana hapo hujasikia kama ameanza kumtaja Mungu, kisha Raisi Samia na akamalizia WananchiπSote tunafahamu na tunatambua kuwa uchawa (chawaism) upo katika nchi hii na katika ngazi tofauti za uongozi, lakini kitendo cha mtu kuonyesha uchawa uliopitiliza ni zaidi ya uzwazwa. Nilipomsikia Profesa Kabudi akisema kuwa Magufuli ni Mungu wake nilidhani ni masikhara. Kumbe Rais akikuteua kushika wadhaifa fulani, tayari anachukua nafasi ya Mungu wako?
Wakati RC Makonda akiongea kuhusu rushwa huko Arusha, amesema Dr Samia ni Mungu wake, hivyo hayuko tayari kumuumiza. Mambo yasiwe mengi, hebu msikilize wewe mwenyewe kwenye video hapo chini usije ukasema nimemuwekea maneno kinywani mwake.
View attachment 2976801
MAONI YANGU
Hata mtu uwe na njaa au uwe ni mwenye kujikomba kiasi gani, tafadhali sana usimfananishe mwanadamu na Mwenyezi Mungu, Bwana wa majeshi, Muumba wa mbingu na nchi. Hii ni kufuru iliyovuka mipaka. Ifike wakati tutumie akili zetu vizuri tuache kufananisha vitu visivyofanana kwa sababu tu ya kutetea matumbo yetu.
Nawasilisha.
Pia soma
. RC Makonda: Rais Samia ameipendelea Arusha, amemtoa mwanae wa pekee na kumleta Arusha
Na Mungu atamlaani yeye na vizazi vyake vinne kwa kumfananisha na mwanadamu anayeenda chooni.Umeongea point mno,hiyo ni laana na wanatafuta ghadhabu ya Mungu.
Wawakumbuke wana wa israel walipoona Musa anachelewa kule mlimani alipoenda kuzungumza na Mungu wakajitengenezea sanamu kwa kutumia vito vyao vya thamani ili wamwabudu na Mungu akakasirika sana
Bashite ni debe tupu. Kama ilivyo kawaida, debe tupu haliachi kulia (kutika). Ndio maana kila siku anajiropokea ovyo ili atrend mitandaoni apate kiki.Hili Bashite halina akili kichwani, linachojuwa ni kutoa kauli ili liendelee ku trend kwenye mitandao ya jamii.
Sawa mimi natuliza tako, na wewe uache kupakazia watu uongo. Changanya matako mavi yasigande pita kushoto.Hiyo video umeiskiliza? Unafahamu Kiswahili? Kama hujaisikiliza au kuielewa, kaa chink utulize tako uache kupotosha.
Aise nakubaliana na wewe, jamaa ana mambo ya kijinga!