Citizen_37
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 957
- 1,124
Ndugu yangu, wewe ndiye umekurupuka ku- post kabla hujamuelewa. Na sidhani kama hujamuelewa, ila unajaribu kulazimisha watu waelewe unavyotaka.Wewe ina maana hukusoma kiswahili? Umemsikiliza vizuri au unataka tu kumtetea?