Makonda: Siko tayari kumkatisha tamaa Rais Samia Suluhu kwa kunipa cheo cha RC

Makonda: Siko tayari kumkatisha tamaa Rais Samia Suluhu kwa kunipa cheo cha RC

Sote tunafahamu na tunatambua kuwa uchawa (chawaism) upo katika nchi hii na katika ngazi tofauti za uongozi, lakini kitendo cha mtu kuonyesha uchawa uliopitiliza ni zaidi ya uzwazwa. Nilipomsikia Profesa Kabudi akisema kuwa Magufuli ni Mungu wake nilidhani ni masikhara. Kumbe Rais akikuteua kushika wadhaifa fulani, tayari anachukua nafasi ya Mungu wako?

Wakati RC Makonda akiongea kuhusu rushwa huko Arusha, amesema Dr Samia ni Mungu wake, hivyo hayuko tayari kumuumiza. Mambo yasiwe mengi, hebu msikilize wewe mwenyewe kwenye video hapo chini usije ukasema nimemuwekea maneno kinywani mwake.

View attachment 2976801
MAONI YANGU
Hata mtu uwe na njaa au uwe ni mwenye kujikomba kiasi gani, tafadhali sana usimfananishe mwanadamu na Mwenyezi Mungu, Bwana wa majeshi, Muumba wa mbingu na nchi. Hii ni kufuru iliyovuka mipaka. Ifike wakati tutumie akili zetu vizuri tuache kufananisha vitu visivyofanana kwa sababu tu ya kutetea matumbo yetu.

Nawasilisha.

Pia soma
.
RC Makonda: Rais Samia ameipendelea Arusha, amemtoa mwanae wa pekee na kumleta Arusha
Ni mungu, sio Mungu
 
Watu wameshindwa kumuelewa makonda kwa ufinyu wao wa Elimu makonda hajamuita Raisi Mungu bali , alama hii ilitumika kipindi anaongea ila watu kwa kukuza mambo tu
 
Sote tunafahamu na tunatambua kuwa uchawa (chawaism) upo katika nchi hii na katika ngazi tofauti za uongozi, lakini kitendo cha mtu kuonyesha uchawa uliopitiliza ni zaidi ya uzwazwa. Nilipomsikia Profesa Kabudi akisema kuwa Magufuli ni Mungu wake nilidhani ni masikhara. Kumbe Rais akikuteua kushika wadhaifa fulani, tayari anachukua nafasi ya Mungu wako?

Wakati RC Makonda akiongea kuhusu rushwa huko Arusha, amesema Dr Samia ni Mungu wake, hivyo hayuko tayari kumuumiza. Mambo yasiwe mengi, hebu msikilize wewe mwenyewe kwenye video hapo chini usije ukasema nimemuwekea maneno kinywani mwake.

View attachment 2976801
MAONI YANGU
Hata mtu uwe na njaa au uwe ni mwenye kujikomba kiasi gani, tafadhali sana usimfananishe mwanadamu na Mwenyezi Mungu, Bwana wa majeshi, Muumba wa mbingu na nchi. Hii ni kufuru iliyovuka mipaka. Ifike wakati tutumie akili zetu vizuri tuache kufananisha vitu visivyofanana kwa sababu tu ya kutetea matumbo yetu.

Nawasilisha.

Pia soma
.
RC Makonda: Rais Samia ameipendelea Arusha, amemtoa mwanae wa pekee na kumleta Arusha
Umeenda kusali kwa Mungu wako wa Majeshi Leo? Kama umefanya hivyo, inatosha. Wacha na wengine waabudu Mungu wao. Mbona Wahindi wanaabudu Ng'ombe na husemi? Au kwakuwa ni Makonda LAZIMA useme.
 
Umeenda kusali kwa Mungu wako wa Majeshi Leo? Kama umefanya hivyo, inatosha. Wacha na wengine waabudu Mungu wao. Mbona Wahindi wanaabudu Ng'ombe na husemi? Au kwakuwa ni Makonda LAZIMA useme.
Sisi tunaye Mungu mmoja tu. Hatutaki miungu wa kuchonga. Tukimuacha Makonda amuabudu Samia ipo siku Mwijaku atanuabudu Diamond. Tukemee hii tabia ya kishenzi kabla haijaota mixizi haoa nchini.
 
Watu wameshindwa kumuelewa makonda kwa ufinyu wao wa Elimu makonda hajamuita Raisi Mungu bali , alama hii ilitumika kipindi anaongea ila watu kwa kukuza mambo tu
Rudi shule ukasome Kiswahili. Kusoma hujui hata video unashindwa kusikiliza? Huko shuleni ulienda kusomea nini? Mungu anaingiaje kwenye suala la rushwa?
 
Rudi shule ukasome Kiswahili. Kusoma hujui hata video unashindwa kusikiliza? Huko shuleni ulienda kusomea nini? Mungu anaingiaje kwenye suala la rushwa?
Ninunulie uniform, nilipie ada,pocket money,madaftari na vitabu ila kikubwa ninunulie wakati nitarudi shule
 
Ninunulie uniform, nilipie ada,pocket money,madaftari na vitabu ila kikubwa ninunulie wakati nitarudi shule
Hizo unifomu nikununulie kaptula au suruali?
 
Sisi tunaye Mungu mmoja tu. Hatutaki miungu wa kuchonga. Tukimuacha Makonda amuabudu Samia ipo siku Mwijaku atanuabudu Diamond. Tukemee hii tabia ya kishenzi kabla haijaota mixizi haoa nchini.
"Sisi" ukimaanisha wewe na nani wengine? Na Makonda yumo humo?
 
Makonda na waabudu sanamu wengine hawamo humo. Yeye Mungu wake ni Samia muache aendelee kumuabudu.
Sasa kama hawamo kiherehere cha kumlaumu Makonda anapomuongelea Mungu wake unakitoa wapi? Ahahahahaha!!!
 
Sote tunafahamu na tunatambua kuwa uchawa (chawaism) upo katika nchi hii na katika ngazi tofauti za uongozi, lakini kitendo cha mtu kuonyesha uchawa uliopitiliza ni zaidi ya uzwazwa. Nilipomsikia Profesa Kabudi akisema kuwa Magufuli ni Mungu wake nilidhani ni masikhara. Kumbe Rais akikuteua kushika wadhaifa fulani, tayari anachukua nafasi ya Mungu wako?

Wakati RC Makonda akiongea kuhusu rushwa huko Arusha, amesema Dr Samia ni Mungu wake, hivyo hayuko tayari kumuumiza. Mambo yasiwe mengi, hebu msikilize wewe mwenyewe kwenye video hapo chini usije ukasema nimemuwekea maneno kinywani mwake.

View attachment 2976801
MAONI YANGU
Hata mtu uwe na njaa au uwe ni mwenye kujikomba kiasi gani, tafadhali sana usimfananishe mwanadamu na Mwenyezi Mungu, Bwana wa majeshi, Muumba wa mbingu na nchi. Hii ni kufuru iliyovuka mipaka. Ifike wakati tutumie akili zetu vizuri tuache kufananisha vitu visivyofanana kwa sababu tu ya kutetea matumbo yetu.

Nawasilisha.

Pia soma
.
RC Makonda: Rais Samia ameipendelea Arusha, amemtoa mwanae wa pekee na kumleta Arusha
Yale maiina hujataja bado???
 
Rushwa ni adui wa haki. HAKI unaitenganisha vipi na Mungu? Huko shule ulienda kusomea ujinga?

-Kaveli-
Imeandikwa: Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako. Usijitie ujanja wakati bongo zozo.
 
Kuna chawa mmoja yeye alisema Mungu ni mwanamke sasa huyo Bashite labda baada ya kutafakari ameona mwanamke mwenyewe anayezungumziwa na yule chawa mwenzake ni huyo aliyempa cheo kwa sababu yeye ameona ametendewa muujiza ambao hakuutarajia hivyo akaamini huyo ndiyo Mungu mwenyewe.
Hahaha Bashite huwa ni kituko sana
 
Inaonyesha wewe kichwa haki ni kigumu sana kuelewa na una matatizo ya kusikia.hapo katika kuongea kwake kuna alama ya koma kabla ya kwenda sentesi ya pili kuwa hayupo tayari kumkatisha tamaa Mheshimiwa daktari Samia Suluhu Hasssan .nimegundua kuwa baadhi ya watanzania ukiwepo wewe mna umbumbumbu mkubwa sana tena sana. Kama kwenye video hiyo tu umeshindwa kuelewa vipi kwa mashaka makubwa yanayohitaji akili?

Wewe ni kipofu wa akili na macho.
Niliwahi kusema humu kuwa bashite ni tatizo kubwa sana, yaani akifungua kopo lake lazima aharibu tu.
 
Back
Top Bottom