Sipati picha ya mtu anayemuona Bashite kama mwamba wake, sijui anakuwa na akili za aina ganiHilo ni nyumbu la CHADEMA.na nyumbu za CHADEMA hazinaga akili hata ya kuelewa. Ni vipofu wa akili na macho. Video ipo wazi tena kaweka mwenyewe ikiwa wazi kabisa namna Mwamba Mwenyewe Mheshimiwa Makonda akizungumza, halafu yeye kwa unyumbu wake anataka kuleta upotoshaji hapa. Kweli nyumbu ni nyumbu tu.
Chawa wa Bashite unapambana kinoma. Binafsi nashauri Bashite akuongezee poshoAchana na hilo nyumbu la CHADEMA linaloendelea kushupaza shingo yake kwa jambo ambalo liko wazi kabisa. Hapo kuna sentensi tatu ,halafu huyu nyumbu anaubganisha kuwa sentensi moja kwa ujinga wake na nia yake ovu.
Aisee ulikuwa wapi? Nakumbuka kipindi cha Jiwe ulikuwa chawa wa Jiwe na Bashite. Vp kwa sasa wewe ni chawa wa nani?[emoji847]
Kazi iendelee....
Imeandikwa: Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako. Usijitie ujanja wakati bongo zozo.
Huyo RC kiboko.....ila hakusema Rais ni Mungu wake.Wakati RC Makonda akiongea kuhusu rushwa huko Arusha, amesema Dr Samia ni Mungu wake, hivyo hayuko tayari kumuumiza
Heri wewe unayetumia makalio kufikiri
Huyo RC kiboko.....ila hakusema Rais ni Mungu wake.
Huyu ipo siku atakimbia nchi kama sio jisalamisha , mda mwalimSote tunafahamu na tunatambua kuwa uchawa (chawaism) upo katika nchi hii na katika ngazi tofauti za uongozi, lakini kitendo cha mtu kuonyesha uchawa uliopitiliza ni zaidi ya uzwazwa. Nilipomsikia Profesa Kabudi akisema kuwa Magufuli ni Mungu wake nilidhani ni masikhara. Kumbe Rais akikuteua kushika wadhaifa fulani, tayari anachukua nafasi ya Mungu wako?
Wakati RC Makonda akiongea kuhusu rushwa huko Arusha, amesema Dr Samia ni Mungu wake, hivyo hayuko tayari kumuumiza. Mambo yasiwe mengi, hebu msikilize wewe mwenyewe kwenye video hapo chini usije ukasema nimemuwekea maneno kinywani mwake.
View attachment 2976801
MAONI YANGU
Hata mtu uwe na njaa au uwe ni mwenye kujikomba kiasi gani, tafadhali sana usimfananishe mwanadamu na Mwenyezi Mungu, Bwana wa majeshi, Muumba wa mbingu na nchi. Hii ni kufuru iliyovuka mipaka. Ifike wakati tutumie akili zetu vizuri tuache kufananisha vitu visivyofanana kwa sababu tu ya kutetea matumbo yetu.
Nawasilisha.
Pia soma
. RC Makonda: Rais Samia ameipendelea Arusha, amemtoa mwanae wa pekee na kumleta Arusha
Machawa mnafikiri kwa kutumia vinyeo vyenu. Wewe ni Bashite mmoja na nusu.
MmmmhAisee ulikuwa wapi? Nakumbuka kipindi cha Jiwe ulikuwa chawa wa Jiwe na Bashite. Vp kwa sasa wewe ni chawa wa nani?
Hakuna mahari makonda katamka samia ni mungu wake.huo ni uzushi na ujinga tu wa watu.hata kabudi pia alilishwa tu maneno na wapenda uchochezi na siasa uchawala wakaunganisha maneno.Kwa hiyo Rais Samia ni Mungu wa watanzania au ni Mungu wa Makonda tu?
Ulienda shule kusomea ujinga? Rudi shule ukasome tena wewe mbweha.Hakuna mahari makonda katamka samia ni mungu wake.huo ni uzushi na ujinga tu wa watu.hata kabudi pia alilishwa tu maneno na wapenda uchochezi na siasa uchawala wakaunganisha maneno.
Akili kubwa inaongoza akili ndogo kama ya kwakomungu = Mungu
makonda = Makonda
Basi unapaswa kujilaumu mwenyewe kwa kuwa akili zenu zinafanana. Akili zako na za Makonda hazitofautiani. Hivi huko shuleni mlienda kusomea ujinga? CC FaizaFoxy
Nafundisha walinzi wa nchi yenuTuisheni yako unafundisha darasa la ngapi mkuu
Punguza jazba we kapuku, kila zama na nabii wake, kwanza huu muda wa lunch ngoja nikale kodi za wadanganyikaHiyo akili mavi inakuongoza wewe mwenye akili ndogo kama punje ya hardali
Mkuu hapa chawa namaanisha mpanbe anayesifia kila kitu bila kutumia akili akitegemea kupewa chochote.Mmmmh
Chawa ni wewe..
Mimi mdau wa JF naandika nayotaka humu..
Kazi iendelee...