Pre GE2025 Makonda: Tangu nimepata uenezi sijawahi kuchukua hata sh 100 kwenye mshahara wangu, huwa natoa yote sadaka!

Pre GE2025 Makonda: Tangu nimepata uenezi sijawahi kuchukua hata sh 100 kwenye mshahara wangu, huwa natoa yote sadaka!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

View attachment 3173025

Makonda asema Tangu alipopata uenezi, mshahara wote ameweka mahabahuni kwa Mungu, na hata alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa Arusha hajawahi kula hata sh kumi, mshahara wote unaenda madhabahuni!

Makonda ameyasema hayo leo wakati akiongea na wananchi katika matembezi ya kuliombea taifa leo siku ya uhuru wa Tanganyika Disemba 9, 2024

Wale wenzangu na mimi mwende mkapate ushauri kwa gwiji la uchumi Makonda, mishahara iwe inakutana na hata kutoigusa kabisa na huku mnaishi kama wafalme! :BearLaugh: :BearLaugh:
Ukitoa sadaka kwa kujitangaza hiyo siyo sadaka tena kwani imeandikwa ukitoa sadaka kwa mkono wa kulia basi hata mkono wako wa kushoto usijue umetoa kiasi gani. Huyu nyamitako ni mpumbavu sana.
 
Ni katika kupeana Maarifa ya Kiroho tu

Yesu alisema " huyu Mjane maskini ametoa zaidi Kuliko wote waliptia sadaka zao chomboni"

Yule Mjane maskini alikuwa ametoa Senti 2 tu

Ahsanteni sana 😄😄

Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
 
Kuna ile ofisi ya 'Tume ya maadili ya viongozi wa umma' kwa nini isimuite huyo jamaa kumhoji!
 
#VIDEO “Nilipopata kazi nikajiuliza moyoni mwangu miaka mitatu na miezi sita ( nje ya ofisi) nimewajua Binadamu, leo nina kazi hii kazi ni yangu au yule aliyenifanya nikaishi miaka mitatu na miezi sita bila mshahara, nikagundua sio yangu ni ya yule aliyenifanya niishi miaka mitatu na miezi sita bila mshahara, unajua kilichotokea nimeweka agano kwa Mungu wangu, tangu nilipopata uenezi mshahara wote nimeuweka madhababuni kwa Mungu”—————————————————————————————————————-“Nimetokea kwenye uenezi nimekuja kwenye Ukuu wa Mkoa wa Arusha sijawahi kuchukua hata 100 ya mshahara wangu nikaila nimeiweka madhabuni kwa Mungu kwasababu Mungu ndiye alinifanya niwepo kwahiyo ukichezea hiki kiti nilichokaa unakutana na anayepokea mshahara ambaye ni Mungu wa Mbinguni, kama amenipa maisha ya miaka mitatu na miezi sita ya Watu wote kunikataa, kunikimbia, kunidharau, kunifungulia kesi kunitafutia kila aina ya hatia na Mungu akasimama nikashinda”————————————————————————————————————————————“Nimetamka kwenye moyo wangu na Familia yangu ya kwamba kiti hiki sio changu ni kiti cha Mungu mwenyewe na mshahara atapokea yeye, ndio maana kila tunachokigusa ni sawa na mti uliopandwa kando ya Mto ambao majani yake hayatokauka” —- Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda leo akizungumza mbele ya Viongozi mbalimbali wa dini na WanaArusha katika kongamano la kuiomba Arusha na Tanzania.
View: https://www.facebook.com/millardayo/videos/1365780807717296/?mibextid=ff4enFATZKjxhjKN
 
Sadaka huwa haihojiwi wala haina hesabu ,ukitaka kuwapumbaza wapuuzi waambie nimetoa sadaka .
Maisha yake na familia yake anaendesha kwa kipato gani?
Kuishi miaka 3 bila salary wala sio ishu kwasabu alikuwa anatumia alizopiga kipindi cha Jiwe
 
Kama mshahara wote anatoa sadaka hiyo sawa! Lkn naomba kujua juu ya
1. Yeye na familiya yake wanakula nini?
2. Utajiri alionao anaupataje ( maana watumishi kama hao hawafanyi biashara)
3. Majumba, magari n.k anavinunua kwa pesa ipi? I'm
Mkuu hivi ushawah fanya kazi serikalini au mahali popote pale rasmi? Kama haujawahi basi hata google

Na ni hivi Mshahara ni kitu kimoja. . .

Ziada ya hapo kuna posho, stahiki na stahili zingine za Uongozi ambazo viongozi huzipata au haulifahamu hilo?

Na kwa hizo anaweza kusurvive bila bugdha yoyote na mshahara wote ukaingia kwenye madhabahu kama anavyodai
 
Wakuu,

View attachment 3173025

Makonda asema Tangu alipopata uenezi, mshahara wote ameweka mahabahuni kwa Mungu, na hata alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa Arusha hajawahi kula hata sh kumi, mshahara wote unaenda madhabahuni!

Makonda ameyasema hayo leo wakati akiongea na wananchi katika matembezi ya kuliombea taifa leo siku ya uhuru wa Tanganyika Disemba 9, 2024

Wale wenzangu na mimi mwende mkapate ushauri kwa gwiji la uchumi Makonda, mishahara iwe inakutana na hata kutoigusa kabisa na huku mnaishi kama wafalme! :BearLaugh: :BearLaugh:
Anaishi kwa mkate
 
Wakuu,

View attachment 3173025

Makonda asema Tangu alipopata uenezi, mshahara wote ameweka mahabahuni kwa Mungu, na hata alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa Arusha hajawahi kula hata sh kumi, mshahara wote unaenda madhabahuni!

Makonda ameyasema hayo leo wakati akiongea na wananchi katika matembezi ya kuliombea taifa leo siku ya uhuru wa Tanganyika Disemba 9, 2024

Wale wenzangu na mimi mwende mkapate ushauri kwa gwiji la uchumi Makonda, mishahara iwe inakutana na hata kutoigusa kabisa na huku mnaishi kama wafalme! :BearLaugh: :BearLaugh:
Kipato kingine anatoa wapi hadi hiyo hana shida nayo? Kutoa fedha sadaka bila kuwaomba msamaha uliowakosea inatosha?
 
Ana pesa chafu naona maana sio kwa misifa hii
Asiegusa mshahara na anaishi maisha ya kifahari basi kuna utakatishaji sehemu, tusidanganyane waafrika hawajieezi
Hela anawapa wakusanyaji ila hapo alipo kuna shule hazina madawati, kuna wajane ambao hizo hela anazotoa kama sadaka haziwafikii hao
Kuna watu ukisimama kwenye dirisha la dawa masikini hawana hata hela ya kununua dawa
Inabidi unawatolea
Halafu mtu mmoja ananiambia hela zake zote kapeleka kanisani
Hivi waafrika mna nini
 
Wakuu,

View attachment 3173025

Makonda asema Tangu alipopata uenezi, mshahara wote ameweka mahabahuni kwa Mungu, na hata alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa Arusha hajawahi kula hata sh kumi, mshahara wote unaenda madhabahuni!

Makonda ameyasema hayo leo wakati akiongea na wananchi katika matembezi ya kuliombea taifa leo siku ya uhuru wa Tanganyika Disemba 9, 2024

Wale wenzangu na mimi mwende mkapate ushauri kwa gwiji la uchumi Makonda, mishahara iwe inakutana na hata kutoigusa kabisa na huku mnaishi kama wafalme! :BearLaugh: :BearLaugh:
Hii ni moja ya indicator number one kuwa huyu mtu ni mwongo, mnafiki, ana kiburi na si mnyenyekevu hata kidogo...

Alipaswa aende mbele zaidi kwa kuwaambia watu waliokuwa wanamsikiliza kwamba, baada ya kutoa mshahara wake wote sadaka, yeye na watoto wake huwa wanakula nini...

Kama ana biashara au vitega uchumi vinavyompa mapesa ya kula alipaswa awaambie watu kuwa;

"......mshahara wangu wote hutoa sadaka siku zote na pesa ya kula na familia yangu, za kununua nguo na magari na matumizi mengine tunazipata kwenye vitega uchumi vyetu kama kilimo, kodi za kupangisha majumba nk nk......"

Kwa kusema hivyo, watu wangeweza kui - balance kauli yake hii badala ya kuwaacha na maswali zaidi kuliko majibu yake hayo...

Kwa kifupi ni kuwa, this guy is a professional liar, hypocrite and egomaniac....!!
 
Back
Top Bottom