Makonda, unajiua mwenyewe mbona hustuki?

Makonda, unajiua mwenyewe mbona hustuki?

Bahenga walisema sikio la kufa halisikii dawa. Mwenezi unadai kuna watu wanataka kukuua. Tena si upinzani Bali ni CCM. Unakichafua chama chako mwenyewe kuwa na wauaji

Sasa nakutonya, uko kwenye mtego ndio maana kwenye maadhimisho ya miaka 47 hukusikia kiongozi mwengine ngazi ya Taifa akiongea zaidi ya Kinana.

Ni hivi, umeachwa uzunguke mikoa yote tena shangaa walivyokuongezea posho ghafla. Umetegwa ukimaliza mikoa yote then utafanya nini? Kwishney, hapo ndipo wakubwa zako wataanza kukunanga na wewe. Kwa Sasa wanakucheka sana.

Wewe ni jiwe linaloandaliwa kuwa chanzo cha ajali ya kisiasa kwa Rais Samia Suluhu Hassan 2025. Endelea kuzunguka huku wakimzunguka mama. Wewe na Samia mtapoteana muda si mrefu. Chukua hiyo!
Kwa nini unamstua?
 
hizi nchi zetu zinahitaji watawala makatili. Watu wameshindwa kujisimamia. Majitu yamezidi uzembe kazini ni kuiba tu na kulindana. Makonda ana backup ya TISS. kuna wakati tutaweka siasa pembeni, tutaenda na uhalisia. Siasa zinatuchelewesha sana! shithole!!!!!!
Chama kinaisimamia Serikali kwelikweli!
Watendaji Serikalini wanatuangusha sana!

Makonda Zunguka na ukimaliza Zunguka tena!

Kuna Watendaji hawajitambui kabisa!!!

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Kweli siasa hasa Africa ni uongo mtupu na ndio maana tunabaki maskini siku zote. Hao tunaowaita wapakwa mafuta/mpango wa Mungu ndio hao wanaotuhadaa kila siku na la ajabu zaidi wasomi kama wewe mnawashabikia, sijui hata mnajisikiaje?!
Mkuu Fazili, mimi kosa langu ni moja tuu, kuukubali ukweli, kuwa dogo yuko vizuri, na wala sio kumshabikia bali kumkubali huyu jamaa. Angalia nilianza nae lini Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam usikute ni kauli umba hii ndio iliompatia u RC.
Kwa 2025 nimemuumbia Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
P
 
Kwamba akimaliza kuzunguka mikoa 20 atafanya nini!? Wewe ndo ulimpangia hiyo ziara? Ulitaka azunguke mikoa mingapi ili akuridhishe wewe shujaa wa mitandaoni?

Ungekuwa na akili ungetambua kwamba hata hiyo ziara CCM wamechelewa sana sana. Chaguzi ni kesho tu hapo!! Endeleeni kukatisha Makalio yenu mwenzenu anamaliza Kampeni za uchaguzi
Hakuna mwanasiasa msafi hata mmoja lakini ccm wamezidi kwa uchafu na ufisadi ni tabia yao ya asili kabisa, huwezi kutenganisha ufisadi, uhalifu na ccm kwa namna yoyote ile, hata hawa wapinzani wanaopiga kelele kila siku wakipewa nafasi yatakua yale yale tuu, mwanasiasa wa ccm ambae alikua hana tabia walizo hawa wahalifu ni Mwalimu Nyerere peke yake
 
Tukubali au tukatae siasa ni mbinu kama ilivyo biashara yoyote.CCM wanajua wanadeal na watanzania ambao majority ni watu wa aina gani,hii makonda's strategy so far inafanya kazi vzr kwa CCM.
 
Bahenga walisema sikio la kufa halisikii dawa. Mwenezi unadai kuna watu wanataka kukuua. Tena si upinzani Bali ni CCM. Unakichafua chama chako mwenyewe kuwa na wauaji

Sasa nakutonya, uko kwenye mtego ndio maana kwenye maadhimisho ya miaka 47 hukusikia kiongozi mwengine ngazi ya Taifa akiongea zaidi ya Kinana.

Ni hivi, umeachwa uzunguke mikoa yote tena shangaa walivyokuongezea posho ghafla. Umetegwa ukimaliza mikoa yote then utafanya nini? Kwishney, hapo ndipo wakubwa zako wataanza kukunanga na wewe. Kwa Sasa wanakucheka sana.

Wewe ni jiwe linaloandaliwa kuwa chanzo cha ajali ya kisiasa kwa Rais Samia Suluhu Hassan 2025. Endelea kuzunguka huku wakimzunguka mama. Wewe na Samia mtapoteana muda si mrefu. Chukua hiyo!
Kwamba akishamaliza mikoa yote hatakuwa na kazi ya kufanya?
Muwe mnaangslia vizuri namna yenu ya kufanya reasoning.
 
Kwanini Chama Cha Masela kinatumia nguvu kubwa kwenye kampeni na ziara zisizo na tija, ilihali wanajua wataiba kura kurudi madarakani.
 
Usidanganywe, hao walio ndani ya serikali wanaelewa kelele za Makonda ni mradi wa mama kurejesha matumaini ya chama bila kujua ana angushwa yeye.
Unadhani ma DED, DC na RC huko apitapo huyo wana hofu na maigizo hayo?
Utahofu nini wakati mfumo huo wa upigaji umeanzia juu kuja chini tena bila uficho?
Wananchi wanashangilia kubwabwaja kwa Bashite kwa vile hawajui mateso yao hayajaanzia kwa hao viongozi wao wa chini bali yameanzia juu.
Hivi kelele za Makonda umeona zimempeleka nani mahakamani? Ni mikutano ya hadhara na vyombo vya habari kutangaza sana kisha akiondoka business as usual.
Sasa ni hoja ya kupewa sumu. Nani anampa sumu? Au anatangaza kuwa wale wauaji wenzake ndani ya Chama ndio wanaweka sumu kwenye chakula? Kwa vile kawajua jee hatua zimechukuliwa?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwa kufupi ni hivi. Makonda hana uwezo wa kutengeneza vitu progressive, makonda huwa ana tabia za wahindi, kusemelea sana kwa bosi, kutafuta every fake aporoach ya kumfurahisha bosi. Makonda ana tabia za kike, kwanza kumtambua who is in power na kuhakikisha ana side naye.
Utendaji wa Makonda kamwe hauwezi kuwa na faida kwa CCM sababu hana uwezo wa ksimamia na kuiimarisha taasisi, ndiyo maana kila anapopita huacha mipasuko kuliko uimara na umoja katika Chama.
Kama kuna mstari Samia ameuchora kwamna ikishindikana basi ni bora CCM ife au ipoteze ndiyo maana kaamua kumtumia Makonda, basi katika hilo namuunga mkono, sababu katika mpango huo, Makonda ni kete sahihi, anaweza zaidi kufarakanisha.
 
Bahenga walisema sikio la kufa halisikii dawa. Mwenezi unadai kuna watu wanataka kukuua. Tena si upinzani Bali ni CCM. Unakichafua chama chako mwenyewe kuwa na wauaji

Sasa nakutonya, uko kwenye mtego ndio maana kwenye maadhimisho ya miaka 47 hukusikia kiongozi mwengine ngazi ya Taifa akiongea zaidi ya Kinana.

Ni hivi, umeachwa uzunguke mikoa yote tena shangaa walivyokuongezea posho ghafla. Umetegwa ukimaliza mikoa yote then utafanya nini? Kwishney, hapo ndipo wakubwa zako wataanza kukunanga na wewe. Kwa Sasa wanakucheka sana.

Wewe ni jiwe linaloandaliwa kuwa chanzo cha ajali ya kisiasa kwa Rais Samia Suluhu Hassan 2025. Endelea kuzunguka huku wakimzunguka mama. Wewe na Samia mtapoteana muda si mrefu. Chukua hiyo!
Jitu pumbavu kama hili linafurahia wakurugenz wahuni, maafsa ardhi wahuni, wakuu wa wilaya wahuni kuwa linafaidika. Huku wananchi wakiuumia. Siku wananch walichukua, mapanga na kuwakata kata, wakurugenz ndio mtaelewa wamechoka. Hipo siku yaja mbwa nyie.
 
AISEE NILISIKIA NA MIMI HIYO.
kwa kusema vile anakili kuwa Raisi awamu ya 5 (ALIULIWA). Hii ni hatari sana, ni heli angesema mtu wa chini sio kiongozi mkubwa kama Makonda. Na analeta ukakasi hadi kwa watu waliohusika sasa.
 
PAUL MAKONDA alishakufa akafufuka (reincarnation) ni mteule na sisi WANANCHI HUTUAMBII KITU … mwenye macho na atazame
 
Swali gani hilo bwashee, kwani hujui kuwa aliuliwa?
Ni sawa unavosema ila bora kuwepo na sintofaham kwa watu kuliko kuwahakikishia wananchi kuwa kiongozi wao aliuliwa. Halafu hakuna mtu alieshtakiwa kuwa ndie aliemuua
 
Sii kweli kuwa anakichafua chama chake kuwa ni wauaji, kwasababu huo ndio ukweli wenyewe!, labada kosa lake liwe ni kuusema ukweli huo!. Kati ya matukio yote yaliyoripotiwa ya viongozi kutaka kuuwawa kwa sumu, kuna lolote wahusika ni wapinzani?.

Makonda ni mpango wa Mungu, ni mpakwa mafuta wa Bwana anayeongozwa na roho wa Mungu. Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni

Kuhusu hii amsha amsha anayoendelea mayo, sisi kaka zake tumeisha mpa Makonda angalizo Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

Na niliwaeleza watu humu kuwa Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

Namalizia kwa swali hili Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?
P
Duh! Pascal jitu la hovyo kabisa.

Ni bora mpumbavu akionyesha ujinga wake kuliko mwerevu akionyesha dalili za ujinga.

Kweli Makonda Huyu Huyu criminal ndiye wa kumwambia hayo?
 
Kweli bwana Pascal unafikiri kutoka moyoni mwako na hasa ukiwa mwanasheria; mtu unayejua utawala wa sheria, kuwa utawala wa sheria ni muhimu sana kwa haki na maendeleo ya watu, bado tu unaamini kwamba Paul Makonda anafaa kuwa rais wa nchi hii au tu basi unaona kuna fursa flani binafsi utaipata akiwa rais? Shida yangu kubwa na wanasiasa wa Kitanzania ni kupishana sana kwa kauli zao na yale wanayoamini moyoni.
Mkuu Fazili, mimi kosa langu ni moja tuu, kuukubali ukweli, kuwa dogo yuko vizuri, na wala sio kumshabikia bali kumkubali huyu jamaa. Angalia nilianza nae lini Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam usikute ni kauli umba hii ndio iliompatia u RC.
Kwa 2025 nimemuumbia Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
P
 
Sir-100 kama Rais ndiye aliyeingia mikataba na wananchi. Sasa hii style mpya ya Rais Kupigwa kimya na kuchagua mtu wa kuzurura kumsemea hii ni mpya.

Bibi vua ushungi ingia mitaani ongea na wananchi.
 
Back
Top Bottom