Makonda, unajiua mwenyewe mbona hustuki?

Makonda, unajiua mwenyewe mbona hustuki?

Sii kweli kuwa anakichafua chama chake kuwa ni wauaji, kwasababu huo ndio ukweli wenyewe!, labada kosa lake liwe ni kuusema ukweli huo!. Kati ya matukio yote yaliyoripotiwa ya viongozi kutaka kuuwawa kwa sumu, kuna lolote wahusika ni wapinzani?.

Makonda ni mpango wa Mungu, ni mpakwa mafuta wa Bwana anayeongozwa na roho wa Mungu. Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni

Kuhusu hii amsha amsha anayoendelea mayo, sisi kaka zake tumeisha mpa Makonda angalizo Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

Na niliwaeleza watu humu kuwa Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

Namalizia kwa swali hili Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?
P
Putin.jpg
 
Bahenga walisema sikio la kufa halisikii dawa. Mwenezi unadai kuna watu wanataka kukuua. Tena si upinzani Bali ni CCM. Unakichafua chama chako mwenyewe kuwa na wauaji

Sasa nakutonya, uko kwenye mtego ndio maana kwenye maadhimisho ya miaka 47 hukusikia kiongozi mwengine ngazi ya Taifa akiongea zaidi ya Kinana.

Ni hivi, umeachwa uzunguke mikoa yote tena shangaa walivyokuongezea posho ghafla. Umetegwa ukimaliza mikoa yote then utafanya nini? Kwishney, hapo ndipo wakubwa zako wataanza kukunanga na wewe. Kwa Sasa wanakucheka sana.

Wewe ni jiwe linaloandaliwa kuwa chanzo cha ajali ya kisiasa kwa Rais Samia Suluhu Hassan 2025. Endelea kuzunguka huku wakimzunguka mama. Wewe na Samia mtapoteana muda si mrefu. Chukua hiyo!
Kuna wakati mtu unaweza ukafikri umeona kumbe bado hujaona sawasawa.
 
Bahenga walisema sikio la kufa halisikii dawa. Mwenezi unadai kuna watu wanataka kukuua. Tena si upinzani Bali ni CCM. Unakichafua chama chako mwenyewe kuwa na wauaji

Sasa nakutonya, uko kwenye mtego ndio maana kwenye maadhimisho ya miaka 47 hukusikia kiongozi mwengine ngazi ya Taifa akiongea zaidi ya Kinana.

Ni hivi, umeachwa uzunguke mikoa yote tena shangaa walivyokuongezea posho ghafla. Umetegwa ukimaliza mikoa yote then utafanya nini? Kwishney, hapo ndipo wakubwa zako wataanza kukunanga na wewe. Kwa Sasa wanakucheka sana.

Wewe ni jiwe linaloandaliwa kuwa chanzo cha ajali ya kisiasa kwa Rais Samia Suluhu Hassan 2025. Endelea kuzunguka huku wakimzunguka mama. Wewe na Samia mtapoteana muda si mrefu. Chukua hiyo!
Kama anajiua mwenyewe SI ndio lengo lenu?,unategemea kwa hii mistari utapunguza speed yake?

You are hopeless 100%
 
Bahenga walisema sikio la kufa halisikii dawa. Mwenezi unadai kuna watu wanataka kukuua. Tena si upinzani Bali ni CCM. Unakichafua chama chako mwenyewe kuwa na wauaji

Sasa nakutonya, uko kwenye mtego ndio maana kwenye maadhimisho ya miaka 47 hukusikia kiongozi mwengine ngazi ya Taifa akiongea zaidi ya Kinana.

Ni hivi, umeachwa uzunguke mikoa yote tena shangaa walivyokuongezea posho ghafla. Umetegwa ukimaliza mikoa yote then utafanya nini? Kwishney, hapo ndipo wakubwa zako wataanza kukunanga na wewe. Kwa Sasa wanakucheka sana.

Wewe ni jiwe linaloandaliwa kuwa chanzo cha ajali ya kisiasa kwa Rais Samia Suluhu Hassan 2025. Endelea kuzunguka huku wakimzunguka mama. Wewe na Samia mtapoteana muda si mrefu. Chukua hiyo!
Rubbish,halafu unasononoka sana kuhusu successions ya ziara ya MAKONDA
 
Kwamba akimaliza kuzunguka mikoa 20 atafanya nini!? Wewe ndo ulimpangia hiyo ziara? Ulitaka azunguke mikoa mingapi ili akuridhishe wewe shujaa wa mitandaoni?

Ungekuwa na akili ungetambua kwamba hata hiyo ziara CCM wamechelewa sana sana. Chaguzi ni kesho tu hapo!! Endeleeni kukatisha Makalio yenu mwenzenu anamaliza Kampeni za uchaguzi
Swali, akimaliza kufanya drama huko atafanya nini tena? Anamfanyia nani kampeni?
20240209_073215.jpg
 
Ametumwa na Samia hivyo yuko safe, at least for now!
 
Sir-100 kama Rais ndiye aliyeingia mikataba na wananchi. Sasa hii style mpya ya Rais Kupigwa kimya na kuchagua mtu wa kuzurura kumsemea hii ni mpya.

Bibi vua ushungi ingia mitaani ongea na wananchi.
Alishakwambia, Kwa Hali yake, haezi😀😀
 
Kufuta nini mkuu? Siwezi kabisa kutaka kufuta chochote kisichonihusu. Nataka kusikia aliongea kwenye context ya aina gani.
Ingia U-Tube, anavuruga Hasa!!!

Tukisema anakijenga chama, jibu ni HAPANA.

Tukisema anakichafua chama na viongozi wote Ili kijisafishia njia Yeye binafsi, jibu ni NDIO.

Kiukweli CCM mna Hali ngumu Hasa!!

Kwa sasa, kumkata au kumwacha, yote yana madhara makubwa.
 
Kwamba akimaliza kuzunguka mikoa 20 atafanya nini!? Wewe ndo ulimpangia hiyo ziara? Ulitaka azunguke mikoa mingapi ili akuridhishe wewe shujaa wa mitandaoni?

Ungekuwa na akili ungetambua kwamba hata hiyo ziara CCM wamechelewa sana sana. Chaguzi ni kesho tu hapo!! Endeleeni kukatisha Makalio yenu mwenzenu anamaliza Kampeni za uchaguzi

Mjinga tu mmja sasa kafikiwa anaona matopwe topwe
 
hizi nchi zetu zinahitaji watawala makatili. Watu wameshindwa kujisimamia. Majitu yamezidi uzembe kazini ni kuiba tu na kulindana. Makonda ana backup ya TISS. kuna wakati tutaweka siasa pembeni, tutaenda na uhalisia. Siasa zinatuchelewesha sana! shithole!!!!!!
Ccm wote ni majizi
 
Jitu pumbavu kama hili linafurahia wakurugenz wahuni, maafsa ardhi wahuni, wakuu wa wilaya wahuni kuwa linafaidika. Huku wananchi wakiuumia. Siku wananch walichukua, mapanga na kuwakata kata, wakurugenz ndio mtaelewa wamechoka. Hipo siku yaja mbwa nyie.
Wewe waache tu wajinga sana hao
 
Ingia U-Tube, anavuruga Hasa!!!

Tukisema anakijenga chama, jibu ni HAPANA.

Tukisema anakichafua chama na viongozi wote Ili kijisafishia njia Yeye binafsi, jibu ni NDIO.

Kiukweli CCM mna Hali ngumu Hasa!!

Kwa sasa, kumkata au kumwacha, yote yana madhara makubwa.
Tulieni dawa iwaingie mtabweka sana.
 
hizi nchi zetu zinahitaji watawala makatili. Watu wameshindwa kujisimamia. Majitu yamezidi uzembe kazini ni kuiba tu na kulindana. Makonda ana backup ya TISS. kuna wakati tutaweka siasa pembeni, tutaenda na uhalisia. Siasa zinatuchelewesha sana! shithole!!!!!!
Makonda Hana backup ya TISS usimpe sifa asizonazo kwanza hawamjui ongea jingine
 
Ingia U-Tube, anavuruga Hasa!!!

Tukisema anakijenga chama, jibu ni HAPANA.

Tukisema anakichafua chama na viongozi wote Ili kijisafishia njia Yeye binafsi, jibu ni NDIO.

Kiukweli CCM mna Hali ngumu Hasa!!

Kwa sasa, kumkata au kumwacha, yote yana madhara makubwa.
Kama umeniweka kwenye kundi la CCM basi litakuwa ni tusi baya sana kwangu. Yaani kweli niwe chama kimoja na Makonda? Ayaaaa. Pengine umefananisha username yangu na ya mtu mwingine. Hakuna kitu ninachokichukia kama CCM. Naiona kama laana ya Tanzania na bila kifo chake nchi yetu haitakaa isimame kiuchumi.
 
Sii kweli kuwa anakichafua chama chake kuwa ni wauaji, kwasababu huo ndio ukweli wenyewe!, labada kosa lake liwe ni kuusema ukweli huo!. Kati ya matukio yote yaliyoripotiwa ya viongozi kutaka kuuwawa kwa sumu, kuna lolote wahusika ni wapinzani?.

Makonda ni mpango wa Mungu, ni mpakwa mafuta wa Bwana anayeongozwa na roho wa Mungu. Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni

Kuhusu hii amsha amsha anayoendelea mayo, sisi kaka zake tumeisha mpa Makonda angalizo Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

Na niliwaeleza watu humu kuwa Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

Namalizia kwa swali hili Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?
P
Hakikisha uchawa wa hivi skitoka mama uufute.usitupe shida kujibu maswali ya wajukuu zako kukushangaa
 
Back
Top Bottom