Makonda, unajiua mwenyewe mbona hustuki?

Sorry!
 
Kwa hiyo unampenda sana ndio maana umeshtua au na wewe unamcheka
 
Acha hadaa Nchi inayojielewa haiwezi kumtegemea Mwenezi wa aina ile
 
Aliyasema Polepole
,akayasema Magufuli .

Hao wanaokaa kimya bila kusema ukweli NDIO WAUAJI.

Kwan Akina Mpina, Kigwangala, sikila siku wanayasema??.

Mimi nadhan unampenda sana Makonda.
 
Ukiachana na mambo ya uandishi, pia una kipaji cha u comedy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…