NzurHuo ni moshi halisi toka kwenye miti halisi hakuna chemical hapoView attachment 3240909
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NzurHuo ni moshi halisi toka kwenye miti halisi hakuna chemical hapoView attachment 3240909
😂😂😂 wwpo lakini sio kama yeyeHakuna huyu mtu
View attachment 3240915
🤣🤣🤣🤣Madhara ya kula kuku mazezeta mayai yasiyo na baba.. Msamehe bure😂
Mpaka watu ni wa asiliMashambani kila kitu ni cha asili kuanzia mbolea mpaka mbeguView attachment 3240905
Haya maeneo unawezaa yapata huko Indonesia , Cambodia, mongolia au Thailand ndani ndani hukoNimepatamani.. Panafanana na kwetuView attachment 3240917
Hadi rahaMandhari ya kuvutia mnoView attachment 3240911View attachment 3240912 hakuna kubanana wala hakuna ugomvi wa mipaka.. Wala huwezi kupita uchochoro na kutokea kwenye sebule wala choo cha mtu.. Huko hakuna kutapisha vyoo wakati wa mvua[emoji25][emoji38][emoji1787]
Hapa pamenikumbusha enzi hizo kitambo nyuma nikitaka kusoma vitabu vya hadithi, haswa vitabu vya 'Elfu lela U lela' nilikuwa ninaenda bondeni sehemu tulivu kama hii....hakika nilikuwa ninahama kabisa na kuvaa uhusika katika zile hadithi. Ilikuwa Raha sana!Huo ni moshi halisi toka kwenye miti halisi hakuna chemical hapoView attachment 3240909
Mazingira kama haya yanaleta utulivu wa akili na kuongeza ladha ya kuishi.💪🏿💗💗💗Hapa pamenikumbusha enzi hizo kitambo nyuma nikitaka kusoma vitabu vya hadithi, haswa vitabu vya 'Elfu lela U lela' nilikuwa ninaenda bondeni sehemu tulivu kama hii....hakika nilikuwa ninahama kabisa na kuvaa uhusika katika zile hadithi. Ilikuwa Raha sana!
Mazingira kama haya yanaleta utulivu wa akili na kuongeza ladha ya kuishi.
Don't give up... Dreams can come true📌🔨💪🏿Ndoto yangu tangu nikiwa mdogo nikizeeka niwe naishi maisha ya Cowboys huko Carlifonia countryside, Nikiwa nimezungukwa na wajukuu na wapendwa wangu, Tukinywa maziwa ya Ng'ombe Tukinywa beer na wajukuu wakiimba na kucheza pamoja kufurahi pamoja, Tukiwa mbali kabisa na kelele za mijini, Ila kadri muda unavyoenda naona ndoto zinayeyuka 😀 Ila kiujumla napenda sana maisha ya Cowboys/Men
View attachment 3240928View attachment 3240929