Makondeni, pepo ya dunia wengi wasiyoijua

Makondeni, pepo ya dunia wengi wasiyoijua

Nikikaaga mwaka mmoja mijini bila kwenda kijijini kwetu inakuwa tabu kupiga bao 3 lakn nikienda kukaa mwezi mmoja tu, narudi naweza kupiga bao 2 za kuunganisha mumo kwa mumo na zingine 3 zenye break time kati yao. Aisee vyakula vya asili vina maana sana.
Kwanza sukari unaikuta kwenye chai tu. Hakuna soda, juice, bia wala pombe Kali labda siku ya sherehe na sikukuu. Vyakula vingine tunakula bila sukari ba vingine bila chumvi.
Siku moja nilikuwa naenda home village.. Njiani nikawa nanyonya valuer kufika nikawq niko top! Basi nikaletewa kinibu cha gongo! Aisee ile valuer ilisepa kusikojulikana😆😆😆.. Nata mjani ni bora kuliko sigara za TCC😀🏃🏿🏃🏿
 
Tuendelee.. Hapa napafananisha na Lushoto.. My motherland❤❤❤
1739888835760.jpg
 
1739888831684.jpg
huku gesti zinaitwa rest house . halafu hazina short time wala chabo😀
1739888831684.jpg
 
Huwa tuna ziita farm house, familia tunayo ila ni ya Maza😝.

likizo ya mwezi wa 12 tuli kaa wiki 1 huko, amani, hakuna kelele au mambo ya ajabu.

Nilivyo rudi kwangu Ile hali ya utulivu ili ni athiri maana hata sauti ya mziki wa kati siku penda.
 
Napenda sana hayo maisha mradi tu kuwe na huduma zote za kijamii, hospital, barabara, umeme, maji, network ya simu na shule za madogo.
 
1739888819877.jpg
huku maua tunapeana mbegu bure hatuuziani
 
Makondeni.. No bodaboda... No stress😋
1739888809613.jpg
 
[
1739888802885.jpg
ATTACH=full]3241038[/ATTACH] extremely pure and safe water.. Hakuna water guard wala kuchemsha.. Halafu ni matamu balaa.. Naniliu inasubiri😂
1739888806797.jpg
 
Mi pepo yangu zamani ilikua kwa mashangazi ila kwa sasa pepo yangu ipo kwa kijana mmoja hvi daaah aiseee
 
1739888795272.jpg
water lilies a spiritual plant at full length growth and very healthy
 

Attachments

  • 1739888795272.jpg
    1739888795272.jpg
    309.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom