Makongoro na ngozi za ng'ombe zimekuwa chakula kinachokidhi mahitaji ya Watanzania. Hali ya maisha ni ngumu

Makongoro na ngozi za ng'ombe zimekuwa chakula kinachokidhi mahitaji ya Watanzania. Hali ya maisha ni ngumu

Shida siyo kushikwa kwa mkono, mikono inayoshikwa mkono maana, mtu alieshika wakati wa kuandaa alinawa kwanza mikono, maana wakati wa kuanda vyakula vingi, ni ngumu kuto shika kwa mkono. Mchele mtu atachagua kwa mkono, mchicha utakatwa kutumia mkono, nyama ya mchuzi vipande hukatwa kushikwa kwa mkono tena toka buchani.

Maji tililika huwezi kwenda migahawa, na bar ya maana ukakosa maji tililika kama kama ni mkazi wa Dar nenda hata pale kwenye mgawa unaotazamana na mlimani city uone tofauti na huko unakokula, nenda hata mgahawa high way manzese muhudumu hashiki kijiko kitakacho tumika na mteja kwa mkono, na kinawekwa kwenye maji ya moto, sehemu za kunawia zipo maji tililika. Sema, kuna watu tumeumbwa kubisha.
Sikatai, ni kweli hiyo migahawana bar zipo zinazofanya vizuri kwenye usafi LAKINI NI MICHACHE SANA YAANI NI KAMA ILIVYO IDADI YA WANAWAKE WENYE DIMPLES NA MWANYA.
Ninachokushangaa unaonekana unabeza hoja yangu wakati lengo langu ni kufahamishana ili watu wachukue tahadhari na wadau wa hiyo biashara nao wazingatie usafi. Sielewi ni kwanini unakuwa NEGATIVE KIASI HICHO.
 
Kumbe mkuu unakula sehemu chafu chafu, Nenda kale Chakula sehemu za maana, kwenye mazingira mazuri, unaenda kula unakaa kwenye bechi au viti vya plastick vimechoka mpaka vimeshonwa, utegemee ule chakula kizuri.

Nenda kale sehemu za migahawa ya maana ama baa, sehemu kama hizo zina maji ya kutosha hivyo hata usafi huzingatiwa kwa kiasi kikubwa, ila unaenda kula mtu anatumia ndoo moja ya maji, vyombo vya plastick, unauzia pembezoni mwa barabara, utegemee usafi, kongoro linalouziwa mazingira mazuri hata bei, iko juu kidogo.
Very inferior & POOR MIND
 
Wakuja baki kijijini na ushamba wako😂😂...unakula kila kitu wewe ni binadamu sio nguruwe ndo hachagui kitu.

Mi nakula seafoods kwa sana sio mauchafu yenu hayo ,njaa kali.!!
Kijiji gani wanauza kongoro?? Huu udambwi udambwi unaupata town tu, kongoro, ngozi, mapupu, pweza nk mambo yote hago unayapata town.

Halafu acha mambo ya kujitia wewe ni wa mjini huo ni ushamba wa miaka ya 90 kijana. Mbona hujiamini mpaka ujitambulishe utokako.
 
Kijiji gani wanauza kongoro?? Huu udambwi udambwi unaupata town tu, kongoro, ngozi, mapupu, pweza nk mambo yote hago unayapata town.

Halafu acha mambo ya kujitia wewe ni wa mjini huo ni ushamba wa miaka ya 90 kijana. Mbona hujiamini mpaka ujitambulishe utokako.
Uswazi nionyesha hapa osterbay wanauza wapi ?

Hayo madude machafu utayakuta kweny vilabu vya pombe na sehemu za walevi .😂

Kila kijiji lazima ukute hayo mambo kwanza ni bei rahisi sijui 1000.
 
Kijiji gani wanauza kongoro?? Huu udambwi udambwi unaupata town tu, kongoro, ngozi, mapupu, pweza nk mambo yote hago unayapata town.

Halafu acha mambo ya kujitia wewe ni wa mjini huo ni ushamba wa miaka ya 90 kijana. Mbona hujiamini mpaka ujitambulishe utokako.
Hakuna ushamba kusema alipotoka, nafikiri angesema katokea kijijini usingemwita mshamba na usingejali ungempotezea tuu
 
Hakuna ushamba kusema alipotoka, nafikiri angesema katokea kijijini usingemwita mshamba na usingejali ungempotezea tuu
Pia ningemuita ni mshamba vilevile.
Hoja yake wala haikua na haja ya umjini na ukijijini na ukizingatia vyakula hivyo vinapatikana mjini na sio kijijini.
Ndio maana ni mshamba, anatumia kigezo cha kua mjini, hawa tunawaita kina "kajua yote".
 
Uswazi nionyesha hapa osterbay wanauza wapi ?

Hayo madude machafu utayakuta kweny vilabu vya pombe na sehemu za walevi .😂

Kila kijiji lazima ukute hayo mambo kwanza ni bei rahisi sijui 1000.
Vijijini hamna hizo kijana, sasa uswazi kupo kijijini.

Njoo upige supu ya mapupu hapa, pembeni hapa kuna jamaa anachapa kongoro la nguruwe, unalijua hilo. Njoo upate afya kijana.
 
We utakuwa wa kishua
Sisi huku Dom kuna chimbo wanauza supu ya ngozi yaani haijalishi ni ngozi ya nini hata iwe imewambwa kwenye ngoma za shule itabanduliwa na kutengenezwa kitaalamu mpaka iwe supu ukionja huwezi kuacha!
Hapo bado hujakutana na supu ya pumbu
Umasikini si sifa ya kujisifia
 
Very inferior & POOR MIND
Mkuu ila kujua kuandika kiingerza, haimaanishi kuwa wewe ndiye mwenye akili mzuri, niku hakikishie tu Kongoro ni chakula kizuri kabisa.

Kama ni uchafu, hata nyama ya kawaida inaweza kuandaliwa mazingara machafu.
 
Tanzania nzima kila wilaya, kijiji, kata au tarafa lazima kuna kijiwe cha wauza Makonngoro na ngozi za ng'ombe ambazo watu wanakula na kulinda uhai wao.

Hawana uwezo wa kumudu samaki nyama au dagaa.

Hali ni ngumu sana.

Walevi wa pombe kali wanajifariji
ngozi ya ng'ombe ni chakula kichafu, ila makongoro ni chakula kizuri sana. binafsi huwa nikipita sokoni nanunua makongoro mengi tu nampa waifu anayapika usiku, kesho asubuhi sote na watoto tunapiga supu, kuliko kwenda kula kwa waswahili (manake huwezi kuyakuta kwenye hotel au migahawa ya maana) ambako hujui wamepiga na kwa maji waliyosuuzia nyapu au la.
 
Mkuu ila kujua kuandika kiingerza, haimaanishi kuwa wewe ndiye mwenye akili mzuri, niku hakikishie tu Kongoro ni chakula kizuri kabisa.

Kama ni uchafu, hata nyama ya kawaida inaweza kuandaliwa mazingara machafu.
Sawa
 
Hayo madude yamenishinda kabisa kula na maude kama ulimi wa ng'ombe sijui senene watu wanatafuta kuharisha tu ...yanaandaliwa katika mazingira machafu ka nguruwe.
Tafadhali usimlinganishe nguruwe (a.k.a my wangu) na hayo mavitu ya ajabu ajabu
 
Vijana kufuga samaki ni fursa kubwa sana, ufugaji wake ni rahisi sana na hauhitaji capital kubwa, jiongezeni sio mnalia lia njaa tuu kila siku na kuajiriwa ajira za kimaskini
 
Back
Top Bottom