TANZIA Makongoro Nyerere afiwa na mwanaye Daudi Nyerere

TANZIA Makongoro Nyerere afiwa na mwanaye Daudi Nyerere

Wewe Pumbavu mimi nimezaliwa Arusha, nimesoma, na nimeoa ARUSHA, na nimeamia Dar nikiwa na Miaka 38, marafiki zangu wote niliosoma nao na ninaowafaham wapo vizuri tu, na ambao hawapo vizuri kwa kwa hilo eneo.
Jibu hoja achaa matusi, kwa nini vijana wengi waliokulia Arusha tena wale wa familia bora,kwa nini wanapenda sana michezo ya kukimbiza magari!? Labda wwe siyo familia bora ndiyo maana hujui michezo yao ya racing cars! Wwe utakua umezaliwa huko Matejoo na ndiyo maana una mdomo mchafu kama simbilisi mzee!!
 
Jibu hoja achaa matusi, kwa nini vijana wengi waliokulia Arusha tena wale wa familia bora,kwa nini wanapenda sana michezo ya kukimbiza magari!? Labda wwe siyo familia bora ndiyo maana hujui michezo yao ya racing cars! Wwe utakua umezaliwa huko Matejoo na ndiyo maana una mdomo mchafu kama simbilisi mzee!!


Ina maana % kubwa ya watoto wa maisha bora Arusha wanafanya racing?

Wewe kenge kweli
 
Jibu hoja achaa matusi, kwa nini vijana wengi waliokulia Arusha tena wale wa familia bora,kwa nini wanapenda sana michezo ya kukimbiza magari!? Labda wwe siyo familia bora ndiyo maana hujui michezo yao ya racing cars! Wwe utakua umezaliwa huko Matejoo na ndiyo maana una mdomo mchafu kama simbilisi mzee!!
🤣🤣🤣Msamehe bure
Kakulia simbilisi
Hajakulia ushuani
Hayajui hayo👌
 
Jibu hoja achaa matusi, kwa nini vijana wengi waliokulia Arusha tena wale wa familia bora,kwa nini wanapenda sana michezo ya kukimbiza magari!? Labda wwe siyo familia bora ndiyo maana hujui michezo yao ya racing cars! Wwe utakua umezaliwa huko Matejoo na ndiyo maana una mdomo mchafu kama simbilisi mzee!!
Ila umeongea ukweli mtupu, Mie nimesomea arusha kwa miaka 6. Kiukweli vijana wa Arusha toka enzi hizo uwaga ni washamba. Wana kaushamba kwa vitu vingi ila wenyewe wanajiona wajanja fulani kumbe mavi tu.
 
Back
Top Bottom