Makongoro Nyerere kuvalia Shati la CCM katika Msiba wa Dada yako Rosemary wakati Makamu wa Rais tu hakuvalia hivyo umejifunza nini?

Kaa Ni Hendrew nakushauri Soma Tena kile kichwa akili zimezidi, hiyo sentensi isome Mara tatu utapata maana tatu tofauti na kuua
 
Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kutohudhuria msiba huo , nimeepuka laana
 
Hilo chati sio la ccm wala yanga ni shati la makongoro
Ambao hatukuwepo tutaaminije Kama Hilo shati lilikuwa la CCM pengine la Yanga je? Au agharabu alivalia kaunda tutajueje? Au tukuamini tuu
 
Unaweza kuta hana Shati nyingine

Hapana, anayo mashati mengi, lakini hilo la ccm ndio liko kwenye hali nzuri maana kampeni ilikuwa juzi. Hivyo huenda amelazimishwa na familia avae hilo lenye hali nzuri.
 
Kaa Ni Hendrew nakushauri Soma Tena kile kichwa akili zimezidi, hiyo sentensi isome Mara tatu utapata maana tatu tofauti na kuua

Kama tu hata kuandika Andrew hujui, ni wazi akili yako ni kidogo mno... na hutoshi kushauri watu makini namna ya kuelewa uandishi wa 'Hendrew'.
 
Mzee makongoro nyerere anakipenda sana chama,,
Ila mungu nae fundi asee,,,huyo jamaa anapenda nyagi sana na mambo fulani,,ila bado yupogo strong...

mambo flani yapi mkuu ? , hiyo ya nyagi kuna jamaa aliwahi kusema humu kwamba jamaa alikutwa ana drive yupo maji
 
Asilimia 70 ya mijadala ni kujadili watu. Umesahau Mwanakijiji alivokuwa akimshambulia Kikwete?
 
Utakonda mkuu. CCM bado ipo ipo sana. Wewe utakufa na utaiacha CCM inatawala. Wagombea wenyewe ndiyo akina Lissu!!
 
Utakonda mkuu. CCM bado ipo ipo sana. Wewe utakufa na utaiacha CCM inatawala. Wagombea wenyewe ndiyo akina Lissu!!
Kama IQ's za wana CCM wote tena nyie mnaojiita Think Tanks / Great Thinkers hapa JF zipo hivi, sasa ninathibitisha Wapumbavu mmejaa tu huko.
 
Kama IQ's za wana CCM wote tena nyie mnaojiita Think Tanks / Great Thinkers hapa JF zipo hivi, sasa ninathibitisha Wapumbavu mmejaa tu huko.
We jamaa nakuita mjinga. Unampangia mtu avae nini? Wewe hiyo nguo ya ccm inakuhusu nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…